Uelewa wangu kuhusu manabii ni kwamba anapoutoa unabii huna haja ya kuwa na jazba. Bali ni kumshukuru Mungu kwa kukufunulia na kuliweka wazi jambo hilo. Kinachofuata ni kukata rufaa kupitia maombi ili Mungu atangue na kubatilisha hiyo roho ya mauti. Kila nafsi itaonja mauti,lakini si kwa namna...
Ujipange kisawa sawa. Alimtabiria marehemu John Komanya kifo kabla hajaonja umauti aachane na mwanamke aliyekuwa anaishi naye kwa vile alikuwa mke wa mtu. Jamaa akabisha na kutishia kumpeleka jamaa Uhamiaji asitishiwe ziara yake hapa nchini. Mwisho wa siku Komanya alifariki.
Sent using Jamii...
Yeye ndiye ana matatizo tena makubwa sana. Yeye uchi wake umelegea( ana bwawa). Hili ni tatizo na changamoto kubwa sana. Hivi sasa watu wanachukuana ,wanaishi pamoja, inapoibuka changamoto hii hawajui la kufanya na wakimbilie wapi zaidi ya hitimisho la kupeana talaka. Hii changamoto inatokea...
Ila kwa kifupi shetani ndiye alikuwa wa kwanza kuwepo kabla ya Adamu. Mungu aliiweka sawa serikali yake huko mbinguni kabla ya kuanza kuumba dunia na vyote vilivyomo.
Malaika wapo wa matabaka mawili. Wapo wale walioshawishiwa na shetani na kumuasi Mungu theluthi moja (1/3) Biblia ,kitabu cha Ufunuo 12:4,7-8. Ndani ya hawa malaika kuna viumbe wasionekana wanaomsababishia mwanadamu kila aina ya madhara. Majini,mizimu,malaria,mikosi...
Mnajichanganya tena mnajichanganya kwa mno. Bombadier,Boeing na Airbus ni makampuni matatu tofauti. Makao Makuu ya Boeing yapo Atlanta,Marekani, Makao Makuu ya Airbus yapo Paris,Ufaransa. Airbus,Canada ni tawi la Airbus,Paris. Airbus mmiliki wake ni Umoja wa Ulaya(EU). Bombadier inamilikiwa na...
Bombadier, Airbus na Boeing ni makampuni matatu tofauti ya kutengeneza ndege. Makao Makuu ya Boeing yapo Atlanta,Marekani. Makao Makuu ya Airbus yapo Paris,Ufaransa. Hivyo Airbus, Canada ni tawi la Airbus. Hii kampuni ya Airbus inamilikiwa na nchi za umoja wa Ulaya(EU).
Uzoefu wangu au dhamira yangu inanishawishi nisipende kuingilia au kutoa ushauri kwa wapenzi ambao walikwisha onjeshana asali. Mwishowe utakuta wamekwisha rudiana na mimi kubaki nimeaibika nakufedheheshwa.
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.