We mingoi nyamaza kabisa kama hujui kufatilia habar funga mdomo, daudi safar ninavyoandika sasa ni mwana ACT kwenye hiyo saccos yenu ya wachagga ameshahama
Huyo jamaa pembeni aliyevaa kizibao cheusi anazo copy zote za mauziano ya ambulance na trekta baada ya kurushana genji sasa hivi ni madui wakubwa, hiv punde nimetoka kuongea nae ataweka mambo hadharani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.