A city beibe ukisikia watu wako conscious ni huko sometimes uhuru wa kaskazini lingekua jambo jema kuliko hili li Tanganyika letu wangekua hatua kadhaa kuliko li tanganyika lililobaki
Ingekuwa uhujumu Uchumi pia unachukuliwa serious hivi hii nchi ingekua mbali mpka maninja Mahakamani nadhani hakujawahi kutokea nchi ya kipuuzi toka kuumbwa kwa dunia hii kamaa hii ambayo mimi ni mwananchi wake
Kuna mtu akiwa pale Ali Hassan Mwinyi Stadium, Tabora aliropoka na maneno yalimtoka kweli kuhusu "MIKOPO YA ELIMU YA JUU" leo yuko kimya kazi kupambana na Wapinzani hili li nchi lina Laana si bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.