Mi huwa nashangaa kitu kimoja hivi mwanamke anaanzaje kuisumbua akili yako ilhali una shughuli zako zinazokuingizia kipato,,concentrate kwenye mambo yako mkuu achana nae watakuja wengine siku hizi wanawake wote furaha yao ni ndoa
Huyo Doto Magari ni mchekeshaji so kama huchukulii mambo serious wala hasumbui,,anatumia njia ya kuponda wasomi kama kinogesho kwenye biashara anayoipromot ya magari
Uwe unafuatilia mambo kwa kina kama unataka kuelewa na sio kuponda tu,,umeme wa kutoka Ethiopia utasaidia wananchi wa kaskazini tu wenye changamoto ya umeme mdogo(low voltage).Sasa ulitaka shirika litumie gharama kubwa kutatua changamoto hiyo ikiwa soln rahisi yenye gharama ndogo ipo tumia akili...
Hii ni sahihi sana maana Malaya ukimnunua atakugharimu labda 50,000 maximum ila mchepuko unaulipia kodi ya nyumba,simu iliharibika,mama anaumwa,dogo hana ada ya shule,hela ya mtaji,bando,umeme,maji na kadhalika
Kabla ya bwana la Mwl Nyerere kukamilika hakuna mwaka uliwahi kupita bila mgao tena mgao mkubwa tu ulikuwepo sema Jina lilishift kutoka mgao wa umeme hadi matengenezo
Watanzania tupunguze mawazo hasi muda wote,,hayo ni matengenezo kinga yaliyopangwa muda mrefu,,mkuu kabla ya kuleta mada ya kimhemko chunguza kwanza.Punguzeni kelele zisizo na tija
Kiukweli mi sijawa na gari japo uwezo wa kuwa nalo nnao hata leo,,kinachonishangaza ikifika tarehe 15-22 napigiwa sana simu za kukopwa hela na hao wenye magari mpaka najiuliza sasa huyu hiyo e.g 30m aliyonunulia gari si angeizungusha ili kuepukana na kuwa omba omba😅😅😅😇
Dah nasikitika huu uongo ulienezwaga na ukasambaa kweli kweli, imagine mtu asababishe huduma ya umeme isipatikane kisa generator ambalo pengine halifiki hata milioni 50,,kabla hujaamini taarifa unayopewa fanya uchunguzi kwanza mkuu
Haya maelezo mepesi sana mkuu,,ikumbukwe wewe kuzaliwa ni either walipanga watu wawili wewe ukiwa haupo au hawakupanga wewe ukatokea kama bahati mbaya kwa hivyo hata wasingekuleta duniani siyo issue kwa maana ndiyo hivyo hawajakuleta,,lakini kumleta duniani mtu halafu aje ataabike huo ni uzwazwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.