Recent content by muksinihamisi

  1. muksinihamisi

    Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

    Naomba msada wenu juu ya hiyo project.
  2. muksinihamisi

    Natafuta mtu wa kufanya naye kazi. Nina ujuzi wa kutengeneza bidhaa za aina mbalimbali lakini sina mtaji

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22, Elimu yangu ni ya secondary nimemaliza mwaka 2017.Nashukulu mungu nilipata ufaulu mzuri ila sikuweza kupata chaguzi.Kutokana na uchumi sikuweza kuendelea na masomo bali nikajiingiza kwenye ujasiriamali kwa bahati mzur nikapata ujuzi wa kutengeneza bidhaa...
  3. muksinihamisi

    Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

    Bado nasubiri wadau ambao wako teyali maana imekuwa changamoto kuwapata
  4. muksinihamisi

    Natafuta mtu wa kufanyanae biashara

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nimemaliza elimu ya secondary mwaka 2017 nashukuru nilipata ufaulu mzuri ila sikuweza kuchaguliwa hvyo kutokana na uchumi sikuweza kuendelea na masomo bali nikajiingiza kwenye ujasiliamali na kuweza kupata ujuzi wa kutengeneza bidhaa mbalimbali za viwandani...
  5. muksinihamisi

    Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

    Hiyo kwa material lakin tukijibana kwakutumia packege za kariako inaweza kuzalisha lita 150 au 200 kwa kujibana lakin
  6. muksinihamisi

    Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

    Hyo in hyo inatosha kwa utengenezaji wa sabuni ya maji(handwash,tiles cleaner),jik,shampoo
  7. muksinihamisi

    Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

    Kwa pr Kwa product ip hapo kat ya hzo
  8. muksinihamisi

    Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22, nimemaliza Elimu ya Secondary mwaka 2017. Nashukuru nilipata ufaulu mzuri ila sikuweza kuchaguliwa hvyo kutokana na uchumi sikuweza kuendelea na masomo bali nikajiingiza kwenye Ujasiliamali na kuweza kupata ujuzi wa kutengeneza bidhaa mbalimbali za...
  9. muksinihamisi

    Msaada: Nashindwa kuinstall file japokuwa nina account ya Google

    lipo ila tatizo ya play store uki downlaod app kuna baadhi ya sehemu ukitaka kufungua unatakiwa ulipie
  10. muksinihamisi

    Msaada: Nashindwa kuinstall file japokuwa nina account ya Google

    Nimecreate account ya Google kwenye simu yangu lakini kila nipotaka kuinstall fail kutoka Google naambiwa kuwa account yangu haija access so sijui nifanyeje
Back
Top Bottom