muksinihamisi
Member
- May 1, 2020
- 14
- 6
Nimecreate account ya Google kwenye simu yangu lakini kila nipotaka kuinstall fail kutoka Google naambiwa kuwa account yangu haija access so sijui nifanyeje
Hebu screenshot tuoneNimecreat account ya google kwenye cm yangu lakin kila nipotak kuistill fail kutoka google nambiwa kuwa account yangu haija access so cjui nifanyeje
Hebu screenshot tuone
app yake inaitwaje.Mm natumia websiteUnatumia website ama appu ???
Kama watumia website kuinstall jaribu kuingia kutumia app yake .
tatizo ya play store uki downlaod app kuna baadhi ya sehemu ukitaka kufungua unatakiwa ulipieKwani hivi huna app ya google play store kwa simu ya kwako ??
lipo ila
tatizo ya play store uki downlaod app kuna baadhi ya sehemu ukitaka kufungua unatakiwa ulipie