Recent content by mukoki

  1. M

    Lema: Mh Rais, kwenye Uchaguzi wa Madiwani tumeshuhudia nguvu ya dola, siamini kama ni Tanzania kwa Uchaguzi wa aina hii

    Msituletee visingizio kama Simba na Yanga siku mkiwafukuza mafisadi ndio mtaanza kupata ushindi nani atawapa kura na sera zenu mbovu mbovu
  2. M

    Walimtosa Ben Saanane, wakaingia mkenge kwa kijana wa Makumbusho

    Mlifanya kosa sana kumkaribisha Lowassa kununua chama chenu
  3. M

    Ukweli usemwe: Intelijensia ya CHADEMA is super and unique. Maamuzi magumu ni yale tu!

    Watakimbia wote maana Lowasa kaishatia mguu , watabaki nyumbu 2
  4. M

    Godbless Lema: Waliogawiwa ardhi na Mugabe ndio hao hao leo wanaandaa maandamano ya kumtoa

    Ukigeuka ukaanza kuwa fisadi hata kama tulizungusha mikono pamoja tutakusurubu
  5. M

    Godbless Lema: Waliogawiwa ardhi na Mugabe ndio hao hao leo wanaandaa maandamano ya kumtoa

    Pipoozi kumbe wanataka kupiga dili kwa kisingizio cha kutukomboa ? kutukomboa au kutukomba ?
  6. M

    Mbowe atajwa kuwa kiongozi bora wa upinzani Afrika

    Ka Mugabe wa Zimbabwe
  7. M

    TANESCO wakubali kubomoa jengo lao, waahidi upatikanaji wa umeme wakati wa kutekeleza agizo hilo

    unapiga mayowe sasa lkn siku interchange itafunguliwa utakuwa wa kwanza kukenua meno na kushangilia
  8. M

    Kwani hakuna uwezekano wa kufanya hivi wakitaka kujenga Fly Over?

    watu wanabomoa gorofa 50 we unalia na aka ? Jamaa anaangalia miaka 50 ijayo
  9. M

    Nitakuwa wa kwanza kumpinga Nape Nnauye

    wee umezaliwa jana? Private sector gani wasemea ATC walipewa makaburi RAILWAY walipewa wahindi TANESCO hakuna aliyeitaka . miradi yote ikageuka magofu
  10. M

    Tunajua una wivu na nafasi ya urais na rais eti anafaidi nawe kawe rais ujenge kwenu

    Pesa hii siyo ya kwenye bajeti hii ni aliyokamata ya mafisadi papa waliokimbilia kwenu
  11. M

    Hivi Ester Matiko ana chuki gani na Chato/Geita?

    hizo ni zile kakusanya kwa matapeli haziwekwi kwenye bajeti
  12. M

    Zitto: Inawezekanaje Serikali ikasaini mkataba wa shilingi Trilioni 7 kujenga Reli na vifaa vyote vikatoka Uturuki?

    utamkubuka huyu kaua ACT mambo ya nchi ndio ataweza . kachama kamemshinda nchi ataweza
  13. M

    Nape: Sijaiona sababu ya Serikali kuchukua fedha zake kuwekeza kwenye miradi mikubwa

    Huyu mbunge anapayuka tu hana lolote , tumejaribu kuwapa hao private reli wahindi , umeme Iptl , ndege south africa wote walituingiza hasara tupu
  14. M

    Mjue mshauri wa Rais Magufuli anayedumaza uchumi

    Akili yako unaijua mwenyewe utaboresha maisha ya watz pesa watoa wapi bila kuwekeza ? Utaboreshaje maisha ya wananchi kama wanatumia mabilioni ya pesa kwa kukaa kwenye foleni ? wengine uelewa wenu mdogo kwa maswala kama haya ya kiuchumi ! uwekezaji mkubwa huu ndio una matokeo chanya ya uchumi
Back
Top Bottom