Nitakuwa wa kwanza kumpinga Nape Nnauye

WamLola

JF-Expert Member
Aug 12, 2012
343
122
Nimepata kumsikiliza vizuri aliyewahi kuwa katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi Na pia aliyekuwa waziri mwenye dhamana ya vijana utamaduni sanaa na michezo.

Katika kuchangia hoja ya Mpango wa Taifa wa maendeleo 2017-2018 Nape nnauye analalamika Serikali kuzisahau sekta binafsi(Private Sector) katika ujenzi wa miradi mikubwa na badala yake Serikali kutumia fedha za mikopo kugharamia miradi mikubwa.

Kwanza kabisa napenda kumkosoa Nape juu ya hoja yake hii,Nadhani Nape amesahau kwamba moja ya misingi mikubwa ya Private Sector katika kuendesha miradi ni kutafuta faida kwanza

Sioni kwamba watanzania wanyonge hawa wataweza kumudu kupata huduma mbalimbali kutoka miradi kama Maji,Umeme, Reli nk ambapo gharama zake zitakuwa juu ili kurudisha gharama za wawekezaji.

Naomba kumkumbusha Nape kwamba Moja ya msingi wa kwanza kabisa wa mikopo kama Tanzania tunayokopa ni kwamba "Huruhusiwi kutumia pesa ya mkopo katika matumizi ya kawaida na badala yake Pesa ya mikopo inatakiwa iingie katika miradi ya maendeleo"

Sio dhambi kwa serikali yetu kutumia mikopo katika kujenga
Barabara.
Umeme.
Reli.
Maji.
nk

Serikali naamini kwamba iko makini, hatuko tayari kuwakabidhi wawekezaji (Private Sector) katika miradi mikubwa na baadae wanufaike kupata utajiri kupitia watanzania wanyonge

Naomba kurudia kumkumbusha Nape Nauye kwamba Sekta binafsi si suluhisho la maendeleo ya nchi yetu bali sekta binafsi zitakuwa mwiba na uchungu mkubwa kwa watanzania endapo tutazipa nguvu ya kutekeleza miradi yetu.

Nadhani Nape nnauye alikurupuka kuchangia suala hili Na napenda kumshauri kwamba si kila anachowaza yeye kiwe ndio kipaumbele cha serikali

Nawapongeza waziri Mpango(Wizara ya fedha na mipango)
Makame mbarawa (Wizara ya ujenzi na usafirishaji)
Medard Kalemani (Wizara ya Nishati na Madini)
Wanafanya kazi zao kwa weledi na wanahitaji kutiwa moyo na watanzania ili kuendeleza mengi ambayo wanapanga kuyatekeleza.

Ni hayo tu niliyotaka kuyafikisha kutokana na Kelele nyingi alizopiga Nape Nauye akizipigia Upatu sekta binafsi(Private Sector)
 
umekuwa wa kwanza na umempinga kimbumbumbu...

FYI
all government are incompetent to do anything.....
BTW
kutafuta faida kuna uhusiano gani na unyonge?
 
Nimepata kumsikiliza vizuri aliyewahi kuwa katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi Na pia aliyekuwa waziri mwenye dhamana ya vijana utamaduni sanaa na michezo.

Katika kuchangia hoja ya Mpango wa Taifa wa maendeleo 2017-2018 Nape nnauye analalamika Serikali kuzisahau sekta binafsi(Private Sector) katika ujenzi wa miradi mikubwa na badala yake Serikali kutumia fedha za mikopo kugharamia miradi mikubwa.

Kwanza kabisa napenda kumkosoa Nape juu ya hoja yake hii,Nadhani Nape amesahau kwamba moja ya misingi mikubwa ya Private Sector katika kuendesha miradi ni kutafuta faida kwanza

Sioni kwamba watanzania wanyonge hawa wataweza kumudu kupata huduma mbalimbali kutoka miradi kama Maji,Umeme, Reli nk ambapo gharama zake zitakuwa juu ili kurudisha gharama za wawekezaji.

Naomba kumkumbusha Nape kwamba Moja ya msingi wa kwanza kabisa wa mikopo kama Tanzania tunayokopa ni kwamba "Huruhusiwi kutumia pesa ya mkopo katika matumizi ya kawaida na badala yake Pesa ya mikopo inatakiwa iingie katika miradi ya maendeleo"

Sio dhambi kwa serikali yetu kutumia mikopo katika kujenga
Barabara.
Umeme.
Reli.
Maji.
nk

Serikali naamini kwamba iko makini, hatuko tayari kuwakabidhi wawekezaji (Private Sector) katika miradi mikubwa na baadae wanufaike kupata utajiri kupitia watanzania wanyonge

Naomba kurudia kumkumbusha Nape Nauye kwamba Sekta binafsi si suluhisho la maendeleo ya nchi yetu bali sekta binafsi zitakuwa mwiba na uchungu mkubwa kwa watanzania endapo tutazipa nguvu ya kutekeleza miradi yetu.

Nadhani Nape nnauye alikurupuka kuchangia suala hili Na napenda kumshauri kwamba si kila anachowaza yeye kiwe ndio kipaumbele cha serikali

Nawapongeza waziri Mpango(Wizara ya fedha na mipango)
Makame mbarawa (Wizara ya ujenzi na usafirishaji)
Medard Kalemani (Wizara ya Nishati na Madini)
Wanafanya kazi zao kwa weledi na wanahitaji kutiwa moyo na watanzania ili kuendeleza mengi ambayo wanapanga kuyatekeleza.

Ni hayo tu niliyotaka kuyafikisha kutokana na Kelele nyingi alizopiga Nape Nauye akizipigia Upatu sekta binafsi(Private Sector)

Sekta binafsi inaweza kushirikishwa kwenye miradi mikubwa ya barabara, umeme, hata usafiri wa ndege na miradi hii ikawa na reciprocal economical benefits to both sides. Kinachotakiwa ni kuweka mikataba mizuri ambayo itahakikisha hakuna kumyonya mwananchi.
 
Mleta mada ni mmoja wa wakuu wa wilaya wapya watarajiwa.
Ataungana na jina jenn muro, cocochanell, jingalao.
Tramadol inaelekea katoswa kwenye teuzi mpya ndiyo maana amekuwa mpinzani wa serikali hii siku za hivi karibuni.
 
Mfano DART
hapo juu umelist vizuri faida za kijana aliye pitia JKT anatakiwa kuwa,hizi issues za ufisadi na kukosa uzalendo kwa baadhi ya watu waliopita JKT isiwe kigezo cha kuhukumu maelfu ya Watanzania waliopita mafunzo hayo kwamba kwamba siyo wazalendo,ni kupoteza muda na rasilimali za nchi. Kwa maoni yangu JKT ni muhimu zaidi sasa kama sehemu ya kuwaunganisha vijana wa Tanzania ambao wametenganishwa ktk matabaka elimu,shule za kata na academy. Ningependa hata itengenezwe programu maalum kwa watumishi wa serikali,taasisi na mashirika ya umma ambao hawakupitia mafunzo haya,wapelekwe huko sasa! Inaweza ikawa ni programu ya miezi mitatu kwa intake.
Haki haki Haki. Haki ikitolewa ktk sekta Zote uzalendo, kuheshimiana kunakuwepo automatically.hizo fedha za JKT zijenge hospitali tu. Wekeni JKT halafu Haki iwepo mtaani. JKT Hii ni sawa na kuoga kwenye mchanga bila viatu.
Sekta binafsi inaweza kushirikishwa kwenye miradi mikubwa ya barabara, umeme, hata usafiri wa ndege na miradi hii ikawa na reciprocal economical benefits to both sides. Kinachotakiwa ni kuweka mikataba mizuri ambayo itahakikisha hakuna kumyonya mwananchi.
 
Wanafiki hawawezi kumpinga! Nape anataka PPP kwenye umeme? Maji? Hivi anajua anachosema huyu? Kuna bidhaa si biashara na zimeitesa hii nchi miaka mingi sana kwa kuiachia sector binafsi. Kiukweli ile hoja yake nilitegemea Chadema ndio wawe wa kwanza kumpinga kama kweli chama kina itikadi isiyopelekwa na upepo ....tumelia sana hili la serikali kubinafsisha hadi sector ambazo ndio primary kwa maendeleo ya taifa. Zitto hata wewe umesahau? Au ndio sasa haingaliwi tena nini kimesemwa bali nani kasema? Shame!!!!
 
Hii nchi siku tukifunza kusimamia ukweli ndio tutapoendelea lakini kwa unafiki huu ....tutashinda humu na kelele zisizo na tija ....tunakosa dira ya tunataka nini kama taifa .....hata kama serikali ya CCM haina dira ....sisi tunataka nini? Tuache kupepea na upepo na kuishiwa kupepetwa na hawa wanasiasa wanaobadilika kuliko kinyonga....itafika mahali hata magufuli akijenga Hospitali tutampinga! Akinunua madawa tutasema kasahau maji! Akijenga vyanzo vya maji mtasema anatumia fedha zetu wenyewe! Hizi ndio siasa? Wekeni dira yenu ambayo ndio muongozo wenu wa kudumu ili tuwe tunautumia kama reference kwa kila hatua wanayochukua CCM na serikali yao ....mnalalamika kutumia fedha za ndani kwenye umeme huku mnalalamika deni la Taifa linapaa .....huu ndio uhuru wa kujieleza kwa taifa changa kama hili?
 
Sekta binafsi inaweza kushirikishwa kwenye miradi mikubwa ya barabara, umeme, hata usafiri wa ndege na miradi hii ikawa na reciprocal economical benefits to both sides. Kinachotakiwa ni kuweka mikataba mizuri ambayo itahakikisha hakuna kumyonya mwananchi.
wee umezaliwa jana? Private sector gani wasemea ATC walipewa makaburi RAILWAY walipewa wahindi TANESCO hakuna aliyeitaka . miradi yote ikageuka magofu
 
Nimepata kumsikiliza vizuri aliyewahi kuwa katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi Na pia aliyekuwa waziri mwenye dhamana ya vijana utamaduni sanaa na michezo.

Katika kuchangia hoja ya Mpango wa Taifa wa maendeleo 2017-2018 Nape nnauye analalamika Serikali kuzisahau sekta binafsi(Private Sector) katika ujenzi wa miradi mikubwa na badala yake Serikali kutumia fedha za mikopo kugharamia miradi mikubwa.

Kwanza kabisa napenda kumkosoa Nape juu ya hoja yake hii,Nadhani Nape amesahau kwamba moja ya misingi mikubwa ya Private Sector katika kuendesha miradi ni kutafuta faida kwanza

Sioni kwamba watanzania wanyonge hawa wataweza kumudu kupata huduma mbalimbali kutoka miradi kama Maji,Umeme, Reli nk ambapo gharama zake zitakuwa juu ili kurudisha gharama za wawekezaji.

Naomba kumkumbusha Nape kwamba Moja ya msingi wa kwanza kabisa wa mikopo kama Tanzania tunayokopa ni kwamba "Huruhusiwi kutumia pesa ya mkopo katika matumizi ya kawaida na badala yake Pesa ya mikopo inatakiwa iingie katika miradi ya maendeleo"

Sio dhambi kwa serikali yetu kutumia mikopo katika kujenga
Barabara.
Umeme.
Reli.
Maji.
nk

Serikali naamini kwamba iko makini, hatuko tayari kuwakabidhi wawekezaji (Private Sector) katika miradi mikubwa na baadae wanufaike kupata utajiri kupitia watanzania wanyonge

Naomba kurudia kumkumbusha Nape Nauye kwamba Sekta binafsi si suluhisho la maendeleo ya nchi yetu bali sekta binafsi zitakuwa mwiba na uchungu mkubwa kwa watanzania endapo tutazipa nguvu ya kutekeleza miradi yetu.

Nadhani Nape nnauye alikurupuka kuchangia suala hili Na napenda kumshauri kwamba si kila anachowaza yeye kiwe ndio kipaumbele cha serikali

Nawapongeza waziri Mpango(Wizara ya fedha na mipango)
Makame mbarawa (Wizara ya ujenzi na usafirishaji)
Medard Kalemani (Wizara ya Nishati na Madini)
Wanafanya kazi zao kwa weledi na wanahitaji kutiwa moyo na watanzania ili kuendeleza mengi ambayo wanapanga kuyatekeleza.

Ni hayo tu niliyotaka kuyafikisha kutokana na Kelele nyingi alizopiga Nape Nauye akizipigia Upatu sekta binafsi(Private Sector)




Nape katoa fact na figures. Na wewe jibu kwa fact na figures.

Sio maneno matupu inakuwa hainogi.
 
Nape katoa fact na figures. Na wewe jibu kwa fact na figures.

Sio maneno matupu inakuwa hainogi.
Mwenye akili chache kama wewe ndio ambaye hatanielewa.sijui unataka nilete data gani ili uelewe usikariri maisha
jaribu kufikiri makampuni tuliyoyapa zabuni yanavyotupeleka nchi hii mpaka leo

Kumbuka IPTL ambayo serikali iliingia mkataba nao kuuza umeme kwa tanesco ona makovu na vidonda tunavyovipata mpaka leo hii

Nilishasema Nape kwa hili anataka kutupoteza na hatuko tayari kurudia makovu katika vidonda tulivyonavyo
 
Mleta mada ni mmoja wa wakuu wa wilaya wapya watarajiwa.
Ataungana na jina jenn muro, cocochanell, jingalao.
Tramadol inaelekea katoswa kwenye teuzi mpya ndiyo maana amekuwa mpinzani wa serikali hii siku za hivi karibuni.
Ndio mnavyojidanganya mtu akisema ukweli unasema anatafuta cheo ila wanaotupotosha tuingie mikataba na makampuni na baadae yatutoe machozi mnawaona watu wazuri. shame
 
Back
Top Bottom