ligema274
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 321
- 183
Hivi kweli mkosaji haishi kulalama:-
Nape alikuwa ndiye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya CCM...na ndiye aliongoza kupiga UFISADI vita..nini maana yangu kuanza hivyo ,wao ndiyo walioandaa ILANI ya Uchaguzi ya miaka 5(2015-2020) ambapo karibu hayo yote aliyoyasema yapo MLE kwa maana kama Ilani iliandaliwa basi ilijumuisha watu wa Kada mbalimbali.
Unapoandaa Ilani ya Uchaguzi na ispotekelezwa basi unajionyesha mbele ya Wapiga kura wako kwamba HUKUWA na UWEZO je,kwenye kuandaa hiyo ILANI iliwekwa kwamba Serikali ije kutumia Sekta binafsi katika kuendeleza MIRADI?Lakini katika UOZO wa FIKRA anaouongea Nape ni UWANJA WA NDEGE ambapo anajitia UPOFU kwa kujifanya hili jambo limeletwa na JPM anasahau lilianza na Mkapa na kumaliziwa na JK ambapo kama kulikuwa na haja ya kutumia watu binafsi kuuendesha ilikuwa ni huko NYUMA na si sasa,isipokuwa alichokifanya JPM ni kusawazisha hilo maana alikuta Wakandarasi WANADAI na Ujenzi ulisuasua,sasa yeye KAWAMALIZIA MALIPO na HAWADAI ila sote twakumbuka alipokwenda pale ALIKOSOA GHARAMA ILIYOTUMIKA kuwa ni KUBWA kwa UWANJA ULE kwqmba kuna HELA ILIPIGWA.Hili nalo lawama ANABEBESHWA JPM kuwa anatumia pesa ya Serikali kwa Miradi mikubwa,ndani ya Miaka mitano UANZE kuita sekta binafsi kisha uwape MIRADI waiendeshe MSIPOKUBALIANA?Mtawajibu nini Wapiga Kura?
Hiyo Reli tunaona hapa ilipewa sekta Binafsi lakini kilichotokea tulikishuhudia,mpaka BUNGE wakaingilia kulalamika na kuliua lile shirika na Mkataba wake wa Awamu ya 4,Nape akiwa Mwenezi wa Chama maboresho ya Waganyakazi anayotaka Nape yaboreshwe ni yepi kuliko kuongezwa mishahara na kuondolewa kodi asilimia 2 kwa Wafanyakazi na Wakulima kusimamiwa mauzo ya Mazao yao na kuondolewa kodi takriban 80?
Mradi wa umeme vijijini na miradi ya maji iliyokuwa kero nayo inatatuliwa kwa nguvu wakati huu.
Itikadi ya CCM ni UJAMA NA KUJITEGEMEA ...Mwenyekiti Magufuli katumia Uwezo wa ziada KUKUSANYA KODI na KUONGEZA KARIBU BIL. 400 kuwa 1.2-1.3TRL kutoka BIL.8OO-900 za JK ambapo tulishudia mikwamo mingi ya MIRADI hasa WIZARA zinapopewa kiasi chini ya Walichoomba kwenye BAJETI.
Juzi akihojiwa Dodoma alisema yeye ndiye kwa kiasi kikubwa na Mzee Kinana walizunguka miezi 36 na wakafanikiwa kuingiza waliyoyaona ktk Ilani hii ambayo JPM anaitekeleza labda alitaka tumuone kuwa JPM si lolote ila yeye kwa hiyo ILANI anayoigeuka LEO.
Ni vyema TUJENGE WENYEWE kuliko KUJENGEWA hao SEKTA BINAFSI.Maana huna HAKIKA ni LINI UTAKUBALIWA .
Nape amejaribu kuonyesha kuwa WABUNGE wa CCM wana uwezo wa KUJENGA HOJA ila mtindo alioingia nao ndiyo kaukosea ni ULE wa WANAOPINGA pasina FIKRA.
JPM kwa kwa kuisimamia MIRADI kwa PESA za NDANI yuko SAHIHI mno NAPE na WENZIO RUDINI KWENYE ILANI. Mtapata majibu.
Nape alikuwa ndiye Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya CCM...na ndiye aliongoza kupiga UFISADI vita..nini maana yangu kuanza hivyo ,wao ndiyo walioandaa ILANI ya Uchaguzi ya miaka 5(2015-2020) ambapo karibu hayo yote aliyoyasema yapo MLE kwa maana kama Ilani iliandaliwa basi ilijumuisha watu wa Kada mbalimbali.
Unapoandaa Ilani ya Uchaguzi na ispotekelezwa basi unajionyesha mbele ya Wapiga kura wako kwamba HUKUWA na UWEZO je,kwenye kuandaa hiyo ILANI iliwekwa kwamba Serikali ije kutumia Sekta binafsi katika kuendeleza MIRADI?Lakini katika UOZO wa FIKRA anaouongea Nape ni UWANJA WA NDEGE ambapo anajitia UPOFU kwa kujifanya hili jambo limeletwa na JPM anasahau lilianza na Mkapa na kumaliziwa na JK ambapo kama kulikuwa na haja ya kutumia watu binafsi kuuendesha ilikuwa ni huko NYUMA na si sasa,isipokuwa alichokifanya JPM ni kusawazisha hilo maana alikuta Wakandarasi WANADAI na Ujenzi ulisuasua,sasa yeye KAWAMALIZIA MALIPO na HAWADAI ila sote twakumbuka alipokwenda pale ALIKOSOA GHARAMA ILIYOTUMIKA kuwa ni KUBWA kwa UWANJA ULE kwqmba kuna HELA ILIPIGWA.Hili nalo lawama ANABEBESHWA JPM kuwa anatumia pesa ya Serikali kwa Miradi mikubwa,ndani ya Miaka mitano UANZE kuita sekta binafsi kisha uwape MIRADI waiendeshe MSIPOKUBALIANA?Mtawajibu nini Wapiga Kura?
Hiyo Reli tunaona hapa ilipewa sekta Binafsi lakini kilichotokea tulikishuhudia,mpaka BUNGE wakaingilia kulalamika na kuliua lile shirika na Mkataba wake wa Awamu ya 4,Nape akiwa Mwenezi wa Chama maboresho ya Waganyakazi anayotaka Nape yaboreshwe ni yepi kuliko kuongezwa mishahara na kuondolewa kodi asilimia 2 kwa Wafanyakazi na Wakulima kusimamiwa mauzo ya Mazao yao na kuondolewa kodi takriban 80?
Mradi wa umeme vijijini na miradi ya maji iliyokuwa kero nayo inatatuliwa kwa nguvu wakati huu.
Itikadi ya CCM ni UJAMA NA KUJITEGEMEA ...Mwenyekiti Magufuli katumia Uwezo wa ziada KUKUSANYA KODI na KUONGEZA KARIBU BIL. 400 kuwa 1.2-1.3TRL kutoka BIL.8OO-900 za JK ambapo tulishudia mikwamo mingi ya MIRADI hasa WIZARA zinapopewa kiasi chini ya Walichoomba kwenye BAJETI.
Juzi akihojiwa Dodoma alisema yeye ndiye kwa kiasi kikubwa na Mzee Kinana walizunguka miezi 36 na wakafanikiwa kuingiza waliyoyaona ktk Ilani hii ambayo JPM anaitekeleza labda alitaka tumuone kuwa JPM si lolote ila yeye kwa hiyo ILANI anayoigeuka LEO.
Ni vyema TUJENGE WENYEWE kuliko KUJENGEWA hao SEKTA BINAFSI.Maana huna HAKIKA ni LINI UTAKUBALIWA .
Nape amejaribu kuonyesha kuwa WABUNGE wa CCM wana uwezo wa KUJENGA HOJA ila mtindo alioingia nao ndiyo kaukosea ni ULE wa WANAOPINGA pasina FIKRA.
JPM kwa kwa kuisimamia MIRADI kwa PESA za NDANI yuko SAHIHI mno NAPE na WENZIO RUDINI KWENYE ILANI. Mtapata majibu.