TANESCO wakubali kubomoa jengo lao, waahidi upatikanaji wa umeme wakati wa kutekeleza agizo hilo

Magufuri anasimamia Sheria siye yy,Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

Ukifuata na Kusimamia Sheria ina maumivu yake. Mfano Muulize Mh.Uhuru Kenyatta dhidi ya ukumu ya Matokeo ya Uchaguzi wa 08/08/017, Mama Lulu, na wengineo wengi
 
Kama huyu alivyoshauri
9ba7fe462e4e744e543b04f64d99eaed.jpg
 
Kwani lile Jengo lilikuwa la Tanesco au Lilikuwa limekodishwa na Tanesco.. Kwa kifupi Mwenye Umiliki wa Jengo lile siyo Tanesco Tanesco wanalipa Kodi hicho kilimuuzi Mkuu tangu akiwa Waziri...


Kumbe!!! sasa Tansesco wanavunja nyumba ya landlord bila kumshirikisha!!?
 
Kwa hiyo wanataka sisi wengine tufanye nini ili kuonyesha uzalendo?? Huu ndio upuuzi tunaoukataa kila siku.
 
Ndiyo naana Umeme unakatika kila siku siku hizi, huku tukiambiwa 2020 ni Tanzania ya viwanda. Wewe ushindwe kumaliza tatizo la Umeme kwa miaka zaidi ya 50, kisha uwe nchi ya viwanda kwa miaka mitano? What a big joke for idiots..
 
"Tuna wajibu kumuunga mkono mkuu katika jitihada zake".......

Hivi ni kweli ee!????
 
Inawezekana Tanesco walijenga kwenye kiwanja hicho kwa ujanja ujanja tu ? hilo haliwezekani kuna wizara / idara ndio ilipima hicho kiwanja na kuwapa hati - naona hapo ndio kuna tatizo na jipu halijatumbuliwa hapo au kama limeisha kufa litajwe tu
 
Inawezekana Tanesco walijenga kwenye kiwanja hicho kwa ujanja ujanja tu ? hilo haliwezekani kuna wizara / idara ndio ilipima hicho kiwanja na kuwapa hati - naona hapo ndio kuna tatizo na jipu halijatumbuliwa hapo au kama limeisha kufa litajwe tu
Jengo sio la tanesco hilo mbona wagumu kuelewa? Wewe ujenge au ujipangishe..muulize raisi anajua jengo ni la nani. Na hakuna sehemu tanesco wamesema jengo lao wao wanasema jengo zilipo ofisi za makao makuu ya shirika hilo
 
Sasa hayo ni maendeleo au hasara? Shirika lenyewe halijiwezi, bado linaongezewa mzigo wa pengine kujenga jrngo jingine.
 
Kwani lile Jengo lilikuwa la Tanesco au Lilikuwa limekodishwa na Tanesco.. Kwa kifupi Mwenye Umiliki wa Jengo lile siyo Tanesco Tanesco wanalipa Kodi hicho kilimuuzi Mkuu tangu akiwa Waziri...
Kwa hiyo kutokana na hiyo barua, tanesco wanalivunja jengo la kampuni nyingine?
 
Pamoja na mbwembwe zote bado kuna tatizo la umeme japo mnaficha. Kuweni wazi na tuambiwe tatizo ni nini umeme kukuta kila siku sehemu kubwa ya jiji la dar na mwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom