Recent content by mukhusin siraji

  1. M

    Kuripoti Udom bila Admission letter!

    weka namba yako ya 4m4 tukuangalizia ili uwe na uhakika #(+>>udom members)
  2. M

    Kuripoti Udom bila Admission letter!

    weka namba yako ya 4m4 tukuangalizia ili uwe na uhakika (+>>udom members)
  3. M

    Naomba kumfaham mwanzilishi wa Jamiiforum

    Habari zenu, Wakuu naombeni mnijuze muanzilishi wa Jamii forum na kama inawezekana nipate na maelezo juu yake kidogo yote hii ni kwasababu nimependezwa na hii jamii.
  4. M

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    mkopo wenyewe n wa kisiasa tu sasa mnampa mtu upande wa ada sh 5000 na inatakiwa sh 1200000 ndo nn sasa na n facult ya science priority
  5. M

    HESLB watoa awamu ya pili wanafunzi waliopata mkopo 2015/16

    ebu acha ushabiki fanya uchunguzi kwanza wapo ambao hawajapewa na wapo waliolipiwa pesa finyu sana kwa upande wa ada mfano sh5000 badala ya sh1500000 milion 1.495 anatakiwa ajilipie kwa uthibitsho nenda UDSM,MUCE,DUCE na MWENGE ukashuhudie vilio
  6. M

    Serikali yakanusha taarifa za Kifo cha Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa

    kila nafsi itaonja mauti hata wewe soon utakufa too no ujanja for it
  7. M

    First year wote wa 2015/2016 UDOM tukutane hapa

    second batch(second selection)2015 udom vp
  8. M

    JKT kwa wahitimu wa kidato cha sita 2015

    je jkt imefutwa kwa kidato cha sita?
  9. M

    JKT kwa wahitimu wa kidato cha sita 2015

    jkt kweli imefutwa? uthibitisho kua imefutwa naombeni
  10. M

    Majina ya wavulana waliochaguliwa kidato cha tano

    Je ya wasichana vipi?? Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums@mukhusin siraji
  11. M

    Post Za Kwenda Kidato Cha Tano Zimetolewa Leo

    Nitafute wapi tafadhali nisaidie
  12. M

    Post Za Kwenda Kidato Cha Tano Zimetolewa Leo

    Hakuna kitu NECTA hawajaweka chochote kuhusu post muwe mna post vitu vya maana bana acheni ulimbukwen
  13. M

    Mjeshi afunguka kuhusu Arusha

    Kwa hiyo chadema ndo wenye makosa? Au ccm? Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Back
Top Bottom