Habari zenu,
Wakuu naombeni mnijuze muanzilishi wa Jamii forum na kama inawezekana nipate na maelezo juu yake kidogo
yote hii ni kwasababu nimependezwa na hii jamii.
ebu acha ushabiki fanya uchunguzi kwanza wapo ambao hawajapewa na wapo waliolipiwa pesa finyu sana kwa upande wa ada mfano
sh5000 badala ya sh1500000
milion 1.495 anatakiwa ajilipie kwa uthibitsho nenda UDSM,MUCE,DUCE na MWENGE ukashuhudie vilio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.