Recent content by Muke ya muarabu

  1. Muke ya muarabu

    Mwizi wa gari akamatwa Kimara

    dah wosia huu wangeupata alshabab wallah Somalia ingekuwa nchi salama ya kuishi
  2. Muke ya muarabu

    Lema achinja mbuzi 25 nyumbani kwake kwa ajili ya sikukuu ya krismas!

    wkt ni kifupi tu kama ilivyo na kadhalika n.k na kizungu e.t.c. acha ushamba
  3. Muke ya muarabu

    TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

    mfyuuu pumba tupu.No wonder mmejaa magerezani kumbe mmevimbishwa kichwa hata mkitenda dhambi mtarehemiwa kisa waislamu.shame
  4. Muke ya muarabu

    Malia Obama apigwa mimba

    hahahahaha we jamaa sio mzima
  5. Muke ya muarabu

    PSPF, TRA, LAPF, TPA, GPSA Wanaongoza kwa udini

    Pumba tupu. hyo kodi mnalipa waislamu peke yenu nchini?hovyoo
  6. Muke ya muarabu

    Binti (Mwanafunzi wa Chuo) auliwa na maiti kufichwa

    Wawili wameshapatikana juzi na bado wanahojiwa.subirini taarifa baada ya upelelezi
  7. Muke ya muarabu

    Nimeanza Kunywa mkojo leo kujitibu madonda ya Tumbo

    ukiwa bado wa moto moto au nauacha upoe kwanza?
  8. Muke ya muarabu

    Serikali iwe macho na uvaaji wa kininja maofisini

    Bikira maria alikuwa anakaa Tanzania?kila sehemu ina mavazi yake kutokana na mazingira sio mnaiga tu ilimradi waliowaletea dini huko kwao ndo wanavaa hvyo.. makanzu,baibui ni mavazi tu ya sehemu yalipotokea ni km mmasai na lubega
  9. Muke ya muarabu

    Serikali iwe macho na uvaaji wa kininja maofisini

    Shule yao ndogo ndomana hawakuelewi wanabaki kutukana tu..
  10. Muke ya muarabu

    Msanii wa Filamu "Adam Philip Kuambiana" afariki dunia

    Duh diana atafuatwa na wengi maana Mr.Nice mzazi mwenzie nae anabanjuka na kina kabula
  11. Muke ya muarabu

    Msanii wa Filamu "Adam Philip Kuambiana" afariki dunia

    Mkuu mtitu aliyebeba mwili na mwenye kampuni ya game 1st quality ni watu wawili tofauti. Na huyo tajiri wa 1st quality sio muigizaji na huwa haonekani,wengi hatumjui
  12. Muke ya muarabu

    Sikutegemea Askofu Desmond Tutu naye amlaum Yoweri Museveni

    Zenji,Tanga na Mombasa ndo wadau wakuu wa hyo michezo,sijui kwasababu huko kuna misalaba mingi?
  13. Muke ya muarabu

    RPC Tabora: Una taarifa kuwa bwalo la Polisi panauzwa kitimoto?

    Wale waliojaa zanzibar,tanga na mömbasa ni dini gani,au hujawah kufika?
  14. Muke ya muarabu

    Top countries with highest HIV/AIDS infections

    Kumbe Tanzania nayo ni nchi ya waabudu sanamu?aisee hawa watu wanatawala dunia
Back
Top Bottom