Riziwani kikwete naye ni miongoni mwao,alikamatwa china,alikamatwa na mzigo wa sh bil 4 bila Jk kufunga safari mtoto alikuwa anapoteza maisha.acha kwenda yy ilibidi atoe sehemu Tanzania yenye gesi kwa ajili ya wao kuja kufua,coz rahisi wa china aliuliza je nitafaidika na nn Tanzania.
Ni ukosefu wa akili tu,wao kuchoma makanisa na wakristo wakiamuwa kuandamana itakuwaje?.ni ukosefu wa ustarabu na elimu pia,mtu uliyekamilika huwezi fanya kitu kama hicho!,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.