Said Meck Sadik ndie Amiri jeshi wa Tanzania?

Khakha

JF-Expert Member
Jul 15, 2009
2,982
1,009
wakuu JF,
ninasoma gazeti la mwananchi la leo tarehe 20 oktoba ukurasa wa tatu kwenye kipengele cha 'uwepo wa jwtz'. headline ya leo gazetini ni khs kadhia ya jana dar na znz na kutumika kwa JWTZ kutuliza kadhia ya jana. ktk ukurasa huo nimesoma paragrafu isomekayo km ifuatavyo-

'hata hivyo, habari kutoka ndani ya jeshi hilo(hapa ni jwtz) zinasema kuwa ombi la kuwapo askari hao(wa jwtz) kulitokana na ombi laRC wa dar es salaam, said mecky sadik ambaye aliomba liwe tayari kusaidia endapo polisi wangezidiwa.

wadau nauliza, hivi ma RC wanatoa amri mpaka majeshini kuwa yakae tayari?
 
wakuu JF,
ninasoma gazeti la mwananchi la leo tarehe 20 oktoba ukurasa wa tatu kwenye kipengele cha 'uwepo wa jwtz'. headline ya leo gazetini ni khs kadhia ya jana dar na znz na kutumika kwa JWTZ kutuliza kadhia ya jana. ktk ukurasa huo nimesoma paragrafu isomekayo km ifuatavyo-

'hata hivyo, habari kutoka ndani ya jeshi hilo(hapa ni jwtz) zinasema kuwa ombi la kuwapo askari hao(wa jwtz) kulitokana na ombi laRC wa dar es salaam, said mecky sadik ambaye aliomba liwe tayari kusaidia endapo polisi wangezidiwa.

wadau nauliza, hivi ma RC wanatoa amri mpaka majeshini kuwa yakae tayari?


Kaika nchi kama Tanzania, kila mtu anaweza kutoa amri, ili mradi awe anaisaidia Serekali. Ila kata habari hii naona umejichangaji (Hujui tofauti kati ya ombi na amri. Tazama hapo kwenye
red.
 
Mkuu wa Mkoa ndio mwenyekiti wa kamati ya ulizi na usalama wa mkoa ambapo mkuu wa kambi mojawapo au makao makuu jeshi ni member hapo,akitoa ombi linapitia kwa uwezo wake kama mwenyekiti wa kamati hiyo!ile sio vita ni kusaidia kutuliza fujo tu,na sidhani kama walibeba silaha za moto!sidhani!
 
wakuu JF,
ninasoma gazeti la mwananchi la leo tarehe 20 oktoba ukurasa wa tatu kwenye kipengele cha 'uwepo wa jwtz'. headline ya leo gazetini ni khs kadhia ya jana dar na znz na kutumika kwa JWTZ kutuliza kadhia ya jana. ktk ukurasa huo nimesoma paragrafu isomekayo km ifuatavyo-

'hata hivyo, habari kutoka ndani ya jeshi hilo(hapa ni jwtz) zinasema kuwa ombi la kuwapo askari hao(wa jwtz) kulitokana na ombi laRC wa dar es salaam, said mecky sadik ambaye aliomba liwe tayari kusaidia endapo polisi wangezidiwa.

wadau nauliza, hivi ma RC wanatoa amri mpaka majeshini kuwa yakae tayari?

Nafikiri bila kumumunya maneno huyu RC wa Dar anajittahidi sana ingekuwa ni huyu wa ARUSHA AU Kilimanjaro nadhani damu ingekuwa imekwishamwagika.
 
Na ukweli ni kuwa kuonekana kwa wanajeshi kumesaidia sana kuleta hali iliyopo ya amani. yeyote aliyehusika na mpango huo, iwe ulivunja sheria au ulienda kinyume na taratibu yoyote, binafsi nampongeza sana.
 
wakuu JF,
ninasoma gazeti la mwananchi la leo tarehe 20 oktoba ukurasa wa tatu kwenye kipengele cha 'uwepo wa jwtz'. headline ya leo gazetini ni khs kadhia ya jana dar na znz na kutumika kwa JWTZ kutuliza kadhia ya jana. ktk ukurasa huo nimesoma paragrafu isomekayo km ifuatavyo-

'hata hivyo, habari kutoka ndani ya jeshi hilo(hapa ni jwtz) zinasema kuwa ombi la kuwapo askari hao(wa jwtz) kulitokana na ombi laRC wa dar es salaam, said mecky sadik ambaye aliomba liwe tayari kusaidia endapo polisi wangezidiwa.

wadau nauliza, hivi ma RC wanatoa amri mpaka majeshini kuwa yakae tayari?

Mkuu ninafiriri RC ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na Usalama wa Mkoa. Hivyo aweza kutumia majeshi yaliyoko kwenye himaya yake kulinda usalama wa raia na mali zao, ila hawezi kutangaza vita. Rais ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama lakini hutamsikia akiamrisha Polis kufanya kazi kwenye matukio ya kulinda usalama.
 
Na ukweli ni kuwa kuonekana kwa wanajeshi kumesaidia sana kuleta hali iliyopo ya amani. yeyote aliyehusika na mpango huo, iwe ulivunja sheria au ulienda kinyume na taratibu yoyote, binafsi nampongeza sana.

Nilichokiona hapo ni kwamba nchi hata ikija kuhasiwa polisi watakuwa hawana msaada
 
Back
Top Bottom