ZINGATIA-Mnaoweka matangazo ya kazi humu

Msimlaumu mwenzetu wadau. Kosa c lake ni kiwango kidogo cha teknolojia tulichonacho. Wengi wetu tunatumia simu za kichina kwa internet ambazo zina low capasity ya access. Hivyo tujitahidi bac kurahisisha hizo post ili tusaidiane zaidi!!
 
Watu mara nyigi tuna matatizo, baada yakuweka tangazo la bishara ili tunaotafuta kazi tupate unaweka link.
 
Inakera unakuta tangazo la kazi, unafungua unakutana na link, hebu jiulize wewe unaeweka link mtu mwenye simu ndogo ataweza kuifungua kweli wakati mi-blogs yenu inatafuna mi-kb! Au mnataka tujue mnamiliki blogs!

Fanyeni copy & paste (MFANO MAX MELO) then kwa kutia naskshi unasema "for more info" then unatupia link.

Badilikeni jamani.......mjini shule!
Acha uzembe unatafuta kazi, unasimu ya mchina unalalamika unataka kusaidiwa vipi badlika wewe umeona kazi huna simu yenye uwezo toa 400 nenda cafe sasa wewe unataka vyote bure hata maiti inaafadhali
 
Aaah! nshachoka mm, anaeweka link asie weka wote sawa, watu wenyewe hatuitwi kwenye interview
wala nn tunaoza na vyeti vye2 home ..nimeamua bora nifuge bata mzinga tu kivuleeee
 
Halafu utakuta wengine wanatangaza nafasi za kazi hawaweki address na jinsi gani unapaswa kutuma application yako,tena tangazo linaweza likatoka leo tar 14 na ukaambiwa mwisho leo kutuma maombi na address hawakupi.Huu ni ubabaishaji.Mfano mzuri ni hawa jamaa wanaotumia hii JOBISTAN.
 
Aaah! nshachoka mm, anaeweka link asie weka wote sawa, watu wenyewe hatuitwi kwenye interview
wala nn tunaoza na vyeti vye2 home ..nimeamua bora nifuge bata mzinga tu kivuleeee

hahahhaha usikate tamaa jombaa
 
Wapuuzi wa maisha ndo wanataka kusoma kazi kwakutumia simu ila mtu mwenye akili timamu na simvivu wa ubongo anachukua link anaenda kwenye kompyuta anasoma kilichopo kwenye link jiulize unaandika application kwa simu kweli wapumbavu ni wengi kweli.
 
Back
Top Bottom