Recent content by Muisraeli

  1. Muisraeli

    Bank account na HELSB

    Atapata lakini atachelewa, kwa sababu otabidi waverify huko heslb hiyo akaunti yake mpya, mimi pia niliwahi kuwa na case hiyo... tho inaweza kuchukua mpaka wiki mbili au tatu tangu wengine wapate kwa boom la kwanza, ila halafu inakuwa kama kawaida.
  2. Muisraeli

    FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024

    Huyu kocha kuendekeza waswahili kutatuponza, miaka yote waswahili walitukwamisha, kwanini hakuwaita diaspora awamu hii, kama timu ndo inacheza hivi
  3. Muisraeli

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Fabrizio romano wa JF, tupo pamoja mkubwa..
  4. Muisraeli

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mkuu tuma tena hatujaona.
  5. Muisraeli

    Licha ya Kibamia, eti ameoa! Uchawi wa kimapenzi

    We si alikudinya. Na huyo atadinywa tu
  6. Muisraeli

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mambo ni 🔥, kwelikweli...
  7. Muisraeli

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Watu wa uraiani lonja yao vipi?
Back
Top Bottom