Atapata lakini atachelewa, kwa sababu otabidi waverify huko heslb hiyo akaunti yake mpya, mimi pia niliwahi kuwa na case hiyo... tho inaweza kuchukua mpaka wiki mbili au tatu tangu wengine wapate kwa boom la kwanza, ila halafu inakuwa kama kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.