Recent content by Muhume

  1. M

    Dawa gani sahihi ya kutokomeza majani shambani?

    Round up kiboko yao ila be careful zipo fake pia
  2. M

    Sababu za kuwekeza kilimo cha cocoa Tanzania

    Tena mjinga sana huyu
  3. M

    Mwonekano wa Counter yangu

    Mshana Jr Tupe location kaka
  4. M

    Wapi nitapata soko la pumba za mahindi na mashudu kama unahitaji

    Kama unahitaji kukusanyiwa pumba za mahindi na mashudu kwa bei nafuu kasema kama unahitaji kukusanyiwa sio kwamba anayo
  5. M

    Nikitaka kujiunga UTT Amis ni lazima niende ofisini kwao?

    But siku za nyuma CRDB bank walikuwa wakala wao ila nasikia na wao wameanzisha mfuko kama huo wa UTT so not sure kama wana offer huo uwakala
  6. M

    Nikitaka kujiunga UTT Amis ni lazima niende ofisini kwao?

    Je unapofungua akaunti ya UTT AMIS kuna gharama za awali ? Jibu: Hakuna gharama zozote unapofungua akaunti ya uwekezaji. Hakuna kiasi utahitaji kulipia kwa kufungua akaunti ya uwekezaji. Ila kama unataka uanze uwekezaji hapo ndo kuna kiasi cha kuanzia kulingana na mfuko unaowekeza Mfano Umoja...
  7. M

    Nikitaka kujiunga UTT Amis ni lazima niende ofisini kwao?

    Je ni mfuko gani mzuri wa kuwekeza UTT AMIS ? Jibu: Mifuko yote mizuri kulingana na lengo anayewekeza anawekeza kwa malengo yepi. Hivyo mwekezaji inabidi ajue lengo lake la uwekezaji ni lipi na hili litampa mwanga wa aina ya mfuko wa kuwekeza. Kabla hujawekeza pata elimu, jua malengo yako...
  8. M

    Nikitaka kujiunga UTT Amis ni lazima niende ofisini kwao?

    Idadi ya mifuko hadi sasa ni 6: Ukwasi| Jikimu| Wekeza Maisha | Umoja | Hatifungani | Watoto. 1. Sasa unaweza kuuza vipande vyako kwa njia ya menu ya simu, siminvest *150*82#. Nenda eneo wameandika "Kuuza Vipande". Ukomo ni milioni 2 kwa siku. 2. Ukishafanya zoezi la kuuza au kutoa hela basi...
  9. M

    Nikitaka kujiunga UTT Amis ni lazima niende ofisini kwao?

    Download app, jisajili na anza kuweka michango yako humo. Baada ya hapo utahitaji kudownload form yao unajaza particular zako na kuituma kwa email au ende physically ofisini kwao. Maelezo yote haya yapo kwenye website yao
  10. M

    Inakuwaje Rais anapokataa kuishi Dodoma?

    Ikitokea hivyo inabidi na wewe utwambie kwa nn unataka akae Dodoma wakati kila mkoa kuna ikulu ndogo? Ila ukiona hujaridhika mshitaki kwa uongozi wa juu yake
Back
Top Bottom