Je unapofungua akaunti ya UTT AMIS kuna gharama za awali ?
Jibu: Hakuna gharama zozote unapofungua akaunti ya uwekezaji. Hakuna kiasi utahitaji kulipia kwa kufungua akaunti ya uwekezaji. Ila kama unataka uanze uwekezaji hapo ndo kuna kiasi cha kuanzia kulingana na mfuko unaowekeza
Mfano
Umoja...
Je ni mfuko gani mzuri wa kuwekeza UTT AMIS ?
Jibu: Mifuko yote mizuri kulingana na lengo anayewekeza anawekeza kwa malengo yepi. Hivyo mwekezaji inabidi ajue lengo lake la uwekezaji ni lipi na hili litampa mwanga wa aina ya mfuko wa kuwekeza.
Kabla hujawekeza pata elimu, jua malengo yako...
Idadi ya mifuko hadi sasa ni 6:
Ukwasi| Jikimu| Wekeza Maisha | Umoja | Hatifungani | Watoto.
1. Sasa unaweza kuuza vipande vyako kwa njia ya menu ya simu, siminvest *150*82#. Nenda eneo wameandika "Kuuza Vipande". Ukomo ni milioni 2 kwa siku.
2. Ukishafanya zoezi la kuuza au kutoa hela basi...
Download app, jisajili na anza kuweka michango yako humo. Baada ya hapo utahitaji kudownload form yao unajaza particular zako na kuituma kwa email au ende physically ofisini kwao. Maelezo yote haya yapo kwenye website yao
Ikitokea hivyo inabidi na wewe utwambie kwa nn unataka akae Dodoma wakati kila mkoa kuna ikulu ndogo? Ila ukiona hujaridhika mshitaki kwa uongozi wa juu yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.