Kwa mada kama hizi acha c.c.m watawale milele, mtu anatoka huku kanywa viroba anabwabwaja tu! jenga hoja hao uliowasifia wamesoma wapi? unaelekea umefeli elimu na maisha pia, mbona cjasoma huku chuo lakn cna kama wewe? nadhan jf si wote wanafikiri xana wewe m1 wao.
Jamani kwa akili ya mleta mada naona kweli wtz wavivu kufikiri kama alivyowah kusema mkuu, yaani yeye anajua elimu ni utajiri na kukosa elimu wawa maskini. mbona babu yangu hakusoma na tajiri zaidi yako wakati wewe std 7 maskini.
duuuu vp wa msc, phd, form 4, form 6 na wasomi wengne matus yao ? ukiondoa wewd la 7 unayemiliki prado. yaan wewe ingawa cna utafiti una matatzo kwenye yako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.