Recent content by muhomakilo jr

  1. muhomakilo jr

    Passport ya safar Sina cheti Cha kuzaliwa

    Cheti cha kuzaliwa hakina ugumu wowote kukipata.
  2. muhomakilo jr

    Shetani ananiandama bila sababu za msingi

    Daah "Ama kweli mahindi humuotea mtu asiye na meno"...
  3. muhomakilo jr

    Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja

    Huyo jamaa hapo alipewa kibali kuchimba mchanga na Halmashauri, Machimbo ambayo yamesababisha hilo eneo kujaa maji na kuleta mafuriko! Kawambwa ameenda hapo baada ya wanachi kumuomba akawaidie! Huyo jamaa mpaka muda huu yupo ndani.
  4. muhomakilo jr

    Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja

    Wabongo kazini! Hajui kisa lakini anaeleza kama alikuwepo eneo hilo na anajua kisa kizima.
  5. muhomakilo jr

    Anthony Mavunde: Watu 34 wamehodhi eneo lenye ukubwa mara 12 ya Dar es Salaam

    Mkuu hujasikia wajanja wamepiga Bilion 200 huko?.
  6. muhomakilo jr

    Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja

    Jamaa mwenye jazba anaikanya hapo.
  7. muhomakilo jr

    Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja

    Hapo kuna udalali gani?, mbona kama kuna kutoelewana kupitisha barabara katika hilo eneo.
  8. muhomakilo jr

    Aliniambia hana hisia na mimi ila sasa hivi hachoki kupiga simu

    Ashapigwa chuma huko, anarudi kwako! Piga chini chap, dawa ya moto ni moto.
  9. muhomakilo jr

    Hizi ni baadhi ya fursa za ajira upande wa Soka ukiachana na uwezo wa kucheza mpira

    Urefa ngoja nikausomee, nikale mipesa ya Simba na Yanga.
  10. muhomakilo jr

    Tegemeeni taarifa ya uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kufungiwa kuanzia kesho

    Viwanja vibovu vipo vingi tu!, kipindi cha mvua vingi havifai..umeona juzi game Ya Prison vs Kagera?..yaani kama uwanja unaotumika kwa mbio za Farasi aisee
  11. muhomakilo jr

    Hivi kuna njia yoyote ya kuacha kubet?

    Unarudisha mpira kwa kipa kinyonge sana!, umepunwa ngapi?..pambana zirudi.
Back
Top Bottom