Recent content by muhomakilo jr

  1. muhomakilo jr

    JamiiForums Tanzania Naomba Mkopo wa kukopeshwa

    Jinsia yako?.
  2. muhomakilo jr

    JamiiForums Tanzania Askari watatu wa Uhifadhi Ngorongoro washikiliwa kutokana na kifo cha fundi gereji Ngorongoro

    Kigwangala ndiyo aliwapa huo upumbavu wa kujifanya na wao jeshi na kupigiana saruti..wanafanya mauaji maeneo mengi sana yaliyo karibu na hifadhi...
  3. muhomakilo jr

    JamiiForums Tanzania Ujambazi mkubwa umefanyika jana Katoro. Maduka ya M-pesa yameporwa pesa. Milio ya bunduki ilirindima watu wakajifungia uvunguni

    Aisee! nilikuwa najua Katoro ni kama nchi ya Brunei, kila mwana Katoro ana Kibunda!, hakuna vibaka wala Jambazi...
  4. muhomakilo jr

    JamiiForums Tanzania Rais wa Cameroon, Paul Biya anaongoza nchi akiwa hajulikani alipo

    Hii Familia ya huyu Raisi ni wapuuzi sana kumuacha mzee wao akiwa madarakani kwa afya hiyo..
  5. muhomakilo jr

    JamiiForums Tanzania Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

    Kitaani hali ni mbaya saana...
  6. muhomakilo jr

    JamiiForums Tanzania Kiungo wa zamani wa Yanga Tonnombe Mukoko atapeliwa nyumba na mwanamke wa kibongo

    Mwana Utopwinyo mwenzio unamkataa?..fanya jambo itisha Harambee mido kisheti ipate kibanda kingine.
  7. muhomakilo jr

    JamiiForums Tanzania KERO Ongezeko la nauli kwenda au kutoka Zanzibar linatuumiza wengi

    Sababu za kupanda nauli ni kufungwa kwa mfereji wa Hormuz hapo Nungwi,na hivyo kusababisha meli kuzunguka sana..
  8. muhomakilo jr

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna nyumba imegeuzwa kiwanda bubu cha pombe kali Kibaha Mailimoja

    Sahihi wachina wanafanya sana hizo mambo na kuna watu wanawalinda.
  9. muhomakilo jr

    JamiiForums Tanzania Ina maana magari yanayomilikiwa na kuendeshwa na wanawake hayali mafuta, spea sio garama, watunzaji sana?

    Hata Madalali wa kuuza Magari, anakwambia hii Gari imetunzwa sana, ilikuwa inaendeshwa na Mwanamke.
  10. muhomakilo jr

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Wekeni picha wakuu.
  11. muhomakilo jr

    JamiiForums Tanzania KERO Air Tanzania imeondoka na abiria wengine, wametuzuia watano, tunaambiwa kuna 'Technical Problem', hii ni sawa?

    Huo ni UZEMBE, Ni overbook hiyo, kama ushacheck in, nyinyi ni abiria wao, kisheria mnapswa kupelekwa Hotel yenye hadhi ya nyota 5 mkisubili next flight....
  12. muhomakilo jr

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu ampa onyo kali Juma Lokole kuhusu Mume wake.

    ....Lokole ana tako kubwa kuliko wema....
Back
Top Bottom