Recent content by muhomakilo jr

  1. muhomakilo jr

    Sipendi tabia ya Mwanamke kujifanya hajui kilimchomleta faraghani

    Dogo hii wababe hizi kazi inaitwa "kuchinja Jogoo"....kinapigwa kama kawa manina.
  2. muhomakilo jr

    Crescent Magori Mwenyekiti Mpya Simba Sport Club

    Tafuta basha kwingine siyo hapa pumbavu!.
  3. muhomakilo jr

    Crescent Magori Mwenyekiti Mpya Simba Sport Club

    Mke Wa Eng nisamehe nimekosa.
  4. muhomakilo jr

    Crescent Magori Mwenyekiti Mpya Simba Sport Club

    Kule Yanga Hersi ni Mwenyekiti wa mwekezaji na wa wanachama kwa miaka kadhaa sasa Gsm akiendelea kujipakulia minyama, hata mchakato hatujui umefikia wapi, "Yanga tumechangia Milioni 100 CCM"....
  5. muhomakilo jr

    Huu nao ni URAIBU mbaya sana Kuna watu wakiona hii kitu karoho kanadundadunda...

    Namkumbuka marehemu shemeji yangu, kwa siku Pepsi hata chupa tano zinafika.
  6. muhomakilo jr

    Zamani tulipanga foleni kupata huduma hizi

    Unaweka na boya kama alama umewahi foleni, halafu ukitaka kununua sukari unalazimishwa kununua na viwembe.
  7. muhomakilo jr

    Sasa naanza kuwaelewa walioajiriwa

    Uneshauriwa kuacha kazi, na ukauza na kibanda!, hapa umezingua mkuu.
  8. muhomakilo jr

    Askofu Gwajima ni sawa na moto wa nyasi, kelele nyingi ila hamna alichofanya mpaka sasa

    Tajili Gwajima amefanya kwa kiasi chake na wewe sasa liaise dude hapo ulipo!..Hii kulaumu ukiwa nyuma ya Keyboard siyo sawa.
  9. muhomakilo jr

    Polepole anahitaji msaada wa matibabu kuliko kumshangaa

    Kaka Rostam hebu tulia usimtie hasira huyo jamaa, akaacha kutumia SMG na kuanza kutumia B52 Bombers.
Back
Top Bottom