Recent content by Muhila

  1. M

    Buchosa: Mwanafunzi adaiwa kuchoma Mabweni ya Shule baada ya kusimamishwa Masomo

    Alaf usikute walim tu wanabif na jamaa basi wamemchomea kes ,mana advnc kuna walm wanoko mno
  2. M

    Kwa matokeo haya achukue kozi gani?

    Aombe MD private japo dirsh nkam limeshafungwa
  3. M

    Mtaje Mwalimu aliyekusaidia na Hutomsahau

    Ntamkumbuka daima Mwl. Charles Raymond mwandiga secondary uyu mtu alinijengea msingi mzuri wa SoMo la chemistry [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
  4. M

    Kwanini Somo la Hisabati bado ni changamoto?

    Fact mkuu maana sio hesab TU all science subject bado wanaend Soma wat walopata lower class
  5. M

    Kwanini Somo la Hisabati bado ni changamoto?

    Kiongozi math yaonekana ngum pia ni sababu walim weng wako shallow kweny ufundshaj
  6. M

    Ninasoma HGK lakini sijui nitakuwa nani hapo baadaye

    Soma sana TU mdogoangu ukipiga one Kali utapata coz ya kusoma inshaallah
  7. M

    Nimechaguliwa multiple selection Bachelor of Medical Laboratory na Pharmacy niende chuo kipi?

    Hawezi pata kaka muhas Hamna kibarua kigum kama kuhamia course iz MD,BPHARM,DDS
  8. M

    Pharmacy VS Medicine (MD)

    Pili thamani ya kitu Kuna mda haipimwi kwa thamani ya pesa,"maji ni muhimu lakini Lita moja ya maji inazidiwa bei na juice ya mo400mls", ambayo at ukikosa utaishi
  9. M

    Pharmacy VS Medicine (MD)

    Kama unataka biashara kafanye pharmacy but medicine furaha yetu nikutibia afya za watu ziwe sawa , that's why jamii inaheshim madaktari
  10. M

    Majina ya waliochaguliwa kwenda Chuo Kikuu yanatoka lini?

    Usiwaze mkuu coz kama matokeo yako yako vzur utapata ulipo taka Apo ndo uzur wa selection za chuo
Back
Top Bottom