Application status zikoje ? Kwenye akaunti ?
No any system newsYako ikoje mkuu?
Habari wakuu naomba kuuliza majina ya waliochaguliwa yanatoka lini
Noma Sana Kaka
Ndiyo no kesho tumeshapata newsSi mmeambiwa tarehe 22/8 ambayo ni Jpili ya kesho
Muda mwingine systems huwa zinawahi kutoa feedback kwenye dashboard kabla ya ule mkeka wa chuo husika au pdf ya tcu .Si mmeambiwa tarehe 22/8 ambayo ni Jpili ya kesho
Masawe unawahi wapi?Habari wakuu naomba kuuliza majina ya waliochaguliwa yanatoka lini?
Masawe unawahi wapi?
Mishe VP mkuuHabari wakuu naomba kuuliza majina ya waliochaguliwa yanatoka lini?
Salama Kaka kwema kabisa MUNGU anasaidiaMishe VP mkuu
Usiwaze mkuu coz kama matokeo yako yako vzur utapata ulipo taka Apo ndo uzur wa selection za chuoHabari wakuu naomba kuuliza majina ya waliochaguliwa yanatoka lini
Noma Sana Kaka
Muda mwingine systems huwa zinawahi kutoa feedback kwenye dashboard kabla ya ule mkeka wa chuo husika au pdf ya tcu .
Naskia udsm Hadi 24/08Mpka sasa bado, hapa mpka kesho