Tanesco eneo la chanika (ILALA) Kuna shida gani? Mteja anafanyiwa survey then anakaa Zaid ya miezi miwil hamtoi control number kwa madai hakuna nguzo, je mna uhaba wa nguzo kiasi hiko?? Wateja wengi wanalalamika
Pole Sana. Simple chagua kimoja Kati ya Furaha na huzuni, Furaha inabid ufany maamuzi magumu kumuacha au kuachana nae legal.. Ulee mtoto u focus na maisha yako, huzuni ni kuchagua kumvumilia na kuamini atarud katik himaya yako. Kama una shuhuli zako za kiuchumi bhasi ni jambo zuri Ila kama huna...
Ifike wakati lazima tujiulize maswali rahisi Sana. TAL Alikua naibu mwenyekiti wa Chama na mwanasheria kwa vipindi tafauti je alieleza kwa nafasi yake alifanyia nini Chama?? Ni mchango gani alitoa katika Chama? Yeye asijione Kua ni msafi zaidi kuliko wengine sio kweli. Lakini pia iko wazi Kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.