Recent content by muhaji

  1. M

    Gorofa 3 WestGate zaanguka, maafisa usalama 6 wauwa watu zaidi wahofiwa kufa

    mada za kimbulula zishaanza tena,i hate such people taking their time to make idiot dialogue kwani kuna haja gani mkaanza kurushiana maneno kuhusu whom to blame on al shabaab's movements,kenyans are united by now ila mimbulula ya tz kutwa kucha kurushiana maneno tu.
  2. M

    Kwa udini na mizaha ktk inteligentia, Al-shabaab wakiingia kwetu tutagawanyika kuliko pambana nao

    i have a dream one day al shabab,boko haram,al qaeda,americans,europe,kenya,palestina,israel and others will sit together on the table and make cheers. believe me the day is coming its a matter of time.
  3. M

    Kwa udini na mizaha ktk inteligentia, Al-shabaab wakiingia kwetu tutagawanyika kuliko pambana nao

    naamin tunaanza kuwa sawa sasa, hata hz thread za kidin din zinatia kichefuchefu,mimi naamin hata mungu anapenda sana watu tuwe wafuasi wa uzalendo ndio msing wa amani na heshima katika taifa tuna mengi ya kufanya jointly, hata tufanyeje kuna kitu tuna share in common whether ni muslims au...
  4. M

    Tusipotoshe umma Rais Uhuru Kenyetta, alimshukuru Rais J Kikwete

    point bro hata mimi nimeiona hyo thread,tumekaa kulalamika lalamika tu for nothing,bora uliesikia umepata ukweli.
  5. M

    Wananchi wa Kenya wameungana na Raisi wao kuitenga Tanzania?

    safi sána mkuu kuna haja gani ya kuanzisha suspections za aina hii,tujiamin whether kikwete ametajwa au lah haiongezi chochote,kwanza kwa sasa wana matatizo makubwa let them settle their problems sio kuanzisha tatizo jingine.
  6. M

    Watoto wa mama salma kikwete vyuoni

    inawezekana na wewe ni m1 wapo.
  7. M

    Alshabab Wafungua Akaunti nyingine Twitter.

    hairusuhu aisee this is typical terrorism na imekaa kisiasa zaid,kwa mtizamo wangu hiki ni kisasi baada ya kenya kuivamia somalia,hakuna mafundisho ya kiislamu yenye kuruhusu umwagaji wa damu za watu wasio na hatia mostly wanawake na watoto,inahuzunisha sana,
  8. M

    wanaume siku hizi tukizubaa kidogo lazima tukatwe kidesign fulani.

    mwanaume halii kwenye majanga akishindwa kujizuia akamwone adam malima.
  9. M

    Poleni watanzania

    asante sana, nawe pole kwa majukumu ya kujenga taifa
  10. M

    Tanzania yatengwa rasmi na nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ( EAC )

    hata masuala muhimu ya kujenga miundombinu tanzania isihusishwe,kusiwe na makubaliano ya pamoja? funguka hapa ni propaganda ya kuidhalilisha tz tu.
  11. M

    Tanzania yatengwa rasmi na nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ( EAC )

    "aitovunjika"? kama sikosei una maanisha haitovunjika.
  12. M

    Tanzania yatengwa EAC community

    unataka kuniambia kenya na uganda vinaendeshwa na rwanda na burundi? la kuvunda halina ubani tuachane na hili shirikisho kuilindia heshima tz.
  13. M

    Tanzania, Burundi waachwa tena katika mazungumzo ya kuwa na Visa Moja!

    kama hawana vibali,wafukuzwe timua timua haiachwi kwa kutengwa na nchi maskini kama hz za east africa
Back
Top Bottom