Recent content by muga jr

  1. muga jr

    Mwanamke unapomwambia unampenda anakujibu "ahsante"

    We tuma vocha au pesa uone wanAume achen " uvulAna"
  2. muga jr

    Mwanamke unapomwambia unampenda anakujibu "ahsante"

    habari za jioni ma gwiji, hivi mwanamke unapomwambia nakupenda akakujibu ahsante, inakua ina maanisha nini sababu kuna ndugu yenu ambae anaweza kua mimi kajibiwa hivyo kwenye text kaishiwa pozi hapa. what is he supposed to text next? Mwambie" asante too" na hasipojibu mambie ulimtania tu...
  3. muga jr

    Haya yanaweza kuwa mapungufu makubwa ya Rais wa awamu ya 5

    Uvumilivu wa kisiasa ni muhimu sana kuwepo ndani ya mioyo ya wa Tz . ningeliviomba vyama viwaandae wafuasi wake katika khla kuu mbili kushindwa na kushnda Haina faida kukejeliana na vijembe juu. Amka kijana tukalijenge taifa
  4. muga jr

    David Kafulila: Tume inataka kunihujumu Kigoma Kusini

    Chuki binafsi tu.
  5. muga jr

    Wafanyakazi wa Uchumi Supermarket Dar Wagoma

    Ilikuwa thread ndefu sema nahc kuna tatzo maana si hyo tu kuna sehemu nyng xinAkuja nusu comments zangu ... Nb cjui kama itafka yote
  6. muga jr

    Wafanyakazi wa Uchumi Supermarket Dar Wagoma

    Ni kwel wakuu hla mi nahc ni kukumbia kodi tu
  7. muga jr

    Wizkid & Alikiba watu wabaya Africa (The most wanted)

    Uzi wa kufuta machoz na kujifarj .... Maisha yana mwendo wa kasi sana na mabadiliko ni lazma .... Cokestudio watu wanarukaruka tu
  8. muga jr

    Njia ya kupambana na huzuni na hisia zenye kuumiza moyo

    Ni dhana ya maisha ulipoanguka nyanyuka na pgana... Mapenz yanakutesa najua huna pesa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
  9. muga jr

    Vanessa Mdee ~ Never Ever: Video nzuri, lakini ina ukakasi

    Asante kaka umemaliza yote waache unafk kuchanganya siasa na mzk na kiba ana haki kikatiba kabisa kuchagua chama .... mi team diamond lakn kiba anajua kishenz tatizo si mjasiliamali wa muzk ndo maana hustle zake hazionekan .. na pia hao mashabk uchwara wa kiba achen hzo jitahd kumuelewesha mtu...
  10. muga jr

    Taasisi ya Kiislam yatoa tamko dhidi ya Lowassa na Gwajima, kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015

    Kwa sasa siasa zimefika patamu sana walutheli vs wakatoliki kuta zinazotafutwa kwa hudi na uvumba na pande zote mbili ni za waislam .... ama kweli dhambi ya udini ni hatari tokea mwaka jana na walaka mpaka leo tunaona matunda yke tusubir kuvuna tu baada ya 25 oct
  11. muga jr

    Tiffah's 40: Sherehe ya mtoto wa Diamond Platnumz kutimiza siku 40 tangu azaliwe

    Kuna biashara na "social responsibilities ( ethical practice)" sasa ndugu yangu unataka ije vp wakat kwenu tu pamoja kuwa na uwezo hamkuwahi kukaa na "yatima"
  12. muga jr

    Kagasheki tumekupa salam ya kwaheri

    😀😀😀😀😀😀 magufur na lwakatare oveerrrr wagonjwa wenu peleken huko
  13. muga jr

    Suala la wakimbizi wa kiarabu na usambaaji wa Uislamu Ulaya.

    Tatizo ni uZito na uchambuz wa kile unachokileta kwetu sijui we mhaya wap ucyeshirikisha ubongo na unachokiandika
  14. muga jr

    Suala la wakimbizi wa kiarabu na usambaaji wa Uislamu Ulaya.

    Mtanzania halisi unafiki na uongo jadi yetu
Back
Top Bottom