Hamjambo wadau?
Namuomba ushauri wenu wa busara. Mimi kuna msichana ambaye nilimpenda sana. Juzi nilipomwambia bayana yangu kwake kuhusu MAPENZI kwa sababu nataka kumuoa alinipatia masharti mawili la kwanza aliniambia nimnunulie Simu ya tachi sharti la pili anipeleke kwa wazazi wake.
Sasa na...
Vipi wadau? Dawa ya Punyeto ni nini? Kuna mtu ameathirika kila siku anasema nilazima apige nane kwa siku.
Sasa ameishiwa na nguvu za kiume kabisa. Anataka kuacha punyeto lakini hawezi. Afanyeje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.