Ukweliii
Member
- Feb 10, 2008
- 58
- 0
Haya ni mawazo yaliyokita kwenye mfumo dume, kila kitu kina tazamwa kwa faida, hasara hisia za wanaume!!
kuzaa kwa mtu yeyote ni "statement" ya mvaaji jinsi anavyoona yeye.
Inanipa raha sana nikiwa kituo cha basi na kuona "wide variety" ya uvaaji (Mitindo, rangi, "fabrics" itis just amazingly beautiful!
Lazima tukatae kuwa kama korea ksk, china ya mao!!
Vaa, kuwa huru na mwili wako, furahia maisha
kuzaa kwa mtu yeyote ni "statement" ya mvaaji jinsi anavyoona yeye.
Inanipa raha sana nikiwa kituo cha basi na kuona "wide variety" ya uvaaji (Mitindo, rangi, "fabrics" itis just amazingly beautiful!
Lazima tukatae kuwa kama korea ksk, china ya mao!!
Vaa, kuwa huru na mwili wako, furahia maisha
Mumeo anapenda uvae nguo fupi!? ili? kwani chumbani hakuoni??