Recent content by Mudhakiru

  1. M

    ITV vs Rais Magufuli na CCM

    too biased and pathetic analysis. ilikuwaje ck hiyo ufanye ufuatiliaji wa ITV pekee na kutoa hitimisho lako? kwani ulifanya hitimisho lako hilo kulinganisha na TV gani nyingine? star TV ilikuwaje? na kwani lazima magufuli aoneshwe na ITV pekee?
  2. M

    Ya Magufuli na Dr. Tulia ni mpango wa CCM dhidi ya Lowassa

    uko sahihi. kukemea ufisadi si jambo LA kukurupuka ili upate kura bali permanent ajenda. upinzani ulitaja kupambana na ufisadi wa kimfumo na si kama kasuku. that's y walisema watahakikisha katiba ya wananchi inapatikana ambayo ndo dawa ya ufisadi na kujilimbikizia Mali na vyeo
  3. M

    Kitila Mkumbo asimamishwa uongozi UDASA

    uko sahihi Ritz, tatizo la vijana wengi ni utegemezi wa fikra za ili uishi sharti uajiriwe tena kwenye secta ya umma.
  4. M

    Naibu katibu mkuu CHADEMA Zanzibar ni mhadhiri MUM

    Dogo acha kukurupuka. Una ushahidi katika hilo kuwa ni Muhadhiri MUM? Kama ndiyo anafundisha Kozi gani na kaingia mwaka gani?
  5. M

    Makada wa CCM watajwa kuisaidia ACT-Tanzania

    WANAFIQ WAKUBWA NYIE. Iwapo mliondoka CHADEMA kwenda kwenye upinzani halisi ina maana cdm hakukuwepo na upinzani makini. so, baada ya kukosa mlichoahidiwa mnarudi CHADEMA twambieni lipi lililo badilika ndani ya CHADEMA HADI MRUDI? Kafilie mbali wachumia tumbo wakubwa nyie
  6. M

    Zitto aitesa CHADEMA

    Acha kutumia miguu kufikiri, tulia ujadili unacho kijua. Lini wanakigoma wakawa wahaya?
  7. M

    Haya ndo majina mapya baada Uchaguzi wa kamati ya watendaji wapya sekretariati ya taifa CUF

    tumia akili kufikiri na si matope. wabara wangapi waislamu katika hiyo list? shame on you, kama huna hoja kanywe viroba si lazima kila hoja ujadili
  8. M

    Bwana Martin Makondo, amehamia rasmi CHADEMA

    wasi wasi wangu asije kuwa SHIBUDA2
  9. M

    Kumbe Mwigamba ndie Katibu mkuu (taifa) ACT!

    mwanaharamu mkubwa. acheni mitazamo hasi za udini zilizowatawala. hivi kumbe MLENGO WA CHADEMA ni wa dini gani?
Back
Top Bottom