Bwana Martin Makondo, amehamia rasmi CHADEMA

Bwana Martin Makondo, amehamia rasmi CHADEMA

Unasemaje kuhusu mh mama zitto ambaye alikuwa mbunge wa bunge la katiba!na yeye je alitoa nn hd akawa mjumbe wa bunge la katiba au kwa kuwa unaichukia chadema?
 
Hata kama ulikua unadhambi namna gani Ukirudi kwa Mungu kwa dhati Mungu Anakusame dhambi zako zote huyo amejitambua Baado wewe unangoja nini sasa? Chukua hatua changamka
 
Pole sana Mkuu. Kwani chadema ina wabunge wangapi vile na ccm inao wangapi vile

cdm,inawabunge wachache WACHAPA KAZI BUNGENI,ccm INA WABUNGE WENGI WAPIGA USINGIZI NA VIGEREGERE BUNGENI.
 
Tunamkaribisha sana Kamanda Makondo katka jeshi la ukombozi! Mungu ambariki sana kwa uamuzi wake wa kumkataa shetani na mambo yake.
 
Ukitaka kujua ni nini Maana ya Ukawa waulize hao wanao Fanya siasa chafu nazamidomo michafu
 
Ni haki yake kisheria kuamua chama gani angependa kuwepo.
 
Back
Top Bottom