Sijui watu hawafikirii,je mnakumbuka mwaka 2005,watu tulikuwa na imani kubwa na kikwete na alituhaidi mengi,na watu wakasema ili ni chaguo la mungu,je kafanya nini?,magfuli sawa ni mtenda kazi ila uko ndani ya ccm mfumi wao ndio unaowaangusha,so la msingi ni KUPIGA CHINI CCM.ili kuwepo na mabadiliko