Recent content by MUBENDE

  1. MUBENDE

    Matapeli wa zamani wa Kyela, Maskita na Mwamkenja walipotelea wapi?

    Walikosa wa kuwarithisha kipindi chao kikafungwa hivyo. Uovu uliishia kwao kutokana na kilio cha wazulimiwa.
  2. MUBENDE

    Tukio la Kipa wa Yanga, Diarra kuwaonesha Wanahabari kidole cha kati , imenikumbusha Chuji alivyofanya hivyo akafungiwa

    Hivi ni kwanini huwa wachezaji wa mpira wana hasira sana?! kuna saa unaweza kufikiri ya kuwa uwanjani yupo peke yake.
  3. MUBENDE

    Shirika la Qatar Airways kuhifadhi ndege zake nchini Uhispania

    Shida ni sisi tunaona hivyo je hao wakubwa wanaona haifai? Tuombe Mungu vita iishe mkuu haya mengine yapo nnje ya uwezo wetu hasa ya makubaliano yao binafsi.
  4. MUBENDE

    Misri: Klabu ya Pharco yatangaza kususia mashindano yote yanayoandaliwa na CAF

    Ukiona kwenye moshi jua moto upo na kama haupo utakuja tu mkuu, kishindo kitakacho kuja kwa CAF kitakuwa kikubwa sna ni swala la muda tu.
  5. MUBENDE

    Shirika la Qatar Airways kuhifadhi ndege zake nchini Uhispania

    Nafikiri kuna mikataba waliingia na huyo USA sasa kuitoka sidhani kama ni rahisi maana haw wakubwa wana mambo yao wanayajua wana gawana wanavyo jua wenyewe sisi tunabakia kukisia tu.
  6. MUBENDE

    TANZIA Muigizaji Chuck Norris afariki dunia akiwa na miaka 86

    Apumzike kwa amani mwendo kaumaliza.
  7. MUBENDE

    Shirika la Qatar Airways kuhifadhi ndege zake nchini Uhispania

    Hii inatuonyesha huu mgogoro sio wa pole pole ni kati ya kitu kizito sana kimeupiga ulimwengu na lazima tutatikisika sana hasa sisi Nchi zisizo na mipangilio madhubuti ktk uchumi wetu kwenye matumizi makubwa. Uchumi wa Dunia lazima utikisike hasa vita hii ikienda kwa muda mrefu itakuwa jambo la...
  8. MUBENDE

    KERO Hivi inakuaje maji hayatoki na bili ipo pale pale. DAWASA acheni michezo

    Hili swala la Maji linazidi kuwa janga pole pole mpaka tutafika mahala hatuji tufanyeje maana hatuna hata uwezo wa kununu kale ka tenk wanakokauza .
  9. MUBENDE

    Ushirikiano wa umeme wa upepo kati ya China na Afrika wahimiza mageuzi ya nishati ya kijani barani Afrika

    Hivi hii miradi mbona nchini kwetu iliyeyuka? mmoja ulikuwa pale makambako mwingine ulifanyiwa tathmini Singida njia ya kwenda Arusha halafu vikaishia kwenye makabrasha vimiwekwa masijala basi imeisha hiyo. Huwa najiuliza hawa Ethiopia wana akili gani? au wao sio waafrika?
  10. MUBENDE

    Benyamin Netanyahu Kafa? Kama siyo mbona wanajieleza Sana

    Tuseme ukweli hii vita kufa kwa viongozi itaifanya isiishe mapema jambo amabalo litatuletea mtikisiko sisi upande wa kupokea vingi hasa Mafuta na misaada kutoka Nchi wafadhili. Tuombe Mungu wakubwa hawa wakubaliane mzozo uishe.
  11. MUBENDE

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Nahivi hatuna utamaduni wa kujiuzuru basi ndio atakuja na kiingereza kini na misamiati kibao ili aonekene kafanya halali.
  12. MUBENDE

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Kuna timu za Uiaya zilikuwa zinagoma na walitusema kabisa wachezaji wasiruhusiwe kuja maana hilo kombe halina heshima yoyote kwa sasa na kweli sasa imekuwa kama walivyotabiri. Na bado maajabu yataendelea utasikia baadhi ya Nchi zitzlisusia hilo kombe.
  13. MUBENDE

    Multchoice na DSTV zimenunuliwa na Canal+. Je, kutakuwa na unafuu wowote?

    Natumaini watakuwa ndio hao. hapo ni mtazamo wa kibiashara zaidi mmoja anambeba mwenzake ktk soko la watazamaji wa ukanda fulani.
Back
Top Bottom