Shida kubwa idara nyingi za Serekali uwajibishwaji ni mdogo na hakuna kabisa kwahiyo ni ngumu sana wahusika kufatwa majukumu yao kwa uhakika na kwa weledi. Zaidi hapo utaambiwa vifaa havijakuja toka mkoani na ukifwatilia utaambiwa vifaa havijaja kutoka ofisi ya kanda yetu mgao wetu ni mpaka...
Kuna wale jamaa wanitwaga wabobezi wa uchumi na wasomaji wa takwimu za uchumi hapa wao hawaoni kabisa kuwa nayo hii mito ni fursa?! au bado wapo kwenye upembuzi yakinifu?
Mungu mwenyezi amjaalie kila hatua aipigayo Mama huyu apate hitaji kwa kadiri yako Mungu. Inahuzunisha sana na hapo utakuta anasomesha na kodi ya Nyumba inamngoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.