Habari za asubuhi ndugu, kuna baadhi ya wafugaji wanasambaza hizo mbegu, Mfano Mavuno ranches kimanzichana 0713 282715. Kimwomwe Ranches kwala 0716787502. Mbogo Ranches mdaula 0784785784. wasiliana na hao wahusika utapata hitaji lako, Mungu akubariki na kukujaalia mafanikio mema ktk ufugaji wako.
Inaumiza sana kunamtu amafika mahala kasema basi wacha ni mwachie Mungu maana amefika mpaka hatua ya mwisho pesa awekewe kwenye Acount lakini mpaka leo hola mwezi wa 3.
Hizo frem za maduka ni maslahi ya wanaoiongoza stendi kwa sasa, na ni baada ya kuona basi hazifungui ofisi ndio maana wakajibinafsishia hizo sehemu, kweli kabisa kila mwenye basi anapashwa kuwa na maegesho/karakana ya kuyahifadhi/matengenezo magari yake Stendi ni mahala pa kupakia na kutoka mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.