Recent content by MUBENDE

  1. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Je, hatuwezi kukuza Mbuzi, Kondoo na Ng'ombe ndani ya miezi 3 na wakatumika?

    Habari za asubuhi ndugu, kuna baadhi ya wafugaji wanasambaza hizo mbegu, Mfano Mavuno ranches kimanzichana 0713 282715. Kimwomwe Ranches kwala 0716787502. Mbogo Ranches mdaula 0784785784. wasiliana na hao wahusika utapata hitaji lako, Mungu akubariki na kukujaalia mafanikio mema ktk ufugaji wako.
  2. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo ngoma za asili nzuri zaidi Tanzania.

    Za kwetu sasa Tz ziko wapi?
  3. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Nssf mafao yangu ubungo

    Bado kabisa.
  4. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Meneja NSSF Kibaha, Pwani, jitafakari kama unafaa kuendelea kuwa ofisini

    Inaumiza sana kunamtu amafika mahala kasema basi wacha ni mwachie Mungu maana amefika mpaka hatua ya mwisho pesa awekewe kwenye Acount lakini mpaka leo hola mwezi wa 3.
  5. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Meneja NSSF Kibaha, Pwani, jitafakari kama unafaa kuendelea kuwa ofisini

    Hilo la kuchelewa kulipwa ni janga la wote sasa ni mwezi wa 3 kuna watu hawajalipwa na hakuna hata taarifa kutoka kwenye mamlaka.
  6. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Sakata la mabasi na malori bado bichi.. Halihitaji maamuzi ya zimamoto

    Hizo frem za maduka ni maslahi ya wanaoiongoza stendi kwa sasa, na ni baada ya kuona basi hazifungui ofisi ndio maana wakajibinafsishia hizo sehemu, kweli kabisa kila mwenye basi anapashwa kuwa na maegesho/karakana ya kuyahifadhi/matengenezo magari yake Stendi ni mahala pa kupakia na kutoka mara...
  7. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Mourinho; Rodri alikataa ofa kubwa Real Madrid

    Wala hatuna makasiriko mkuu, aende tu kausikiliza moyo wake kuliko ofa aliyopewa na hilo ni jambo bora sana kwa mwanadamu.
  8. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Japan Yajaribu 6G kwa Kasi ya 112Gbps!

    Na sijui huwa wanatumia njia gani kufikiri ambayo sisi hata vinyago vya mpingo tunashindwa kuviboresha.
  9. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua Land Rover Discovery

    Mungu akubariki sana kwa ushauri mzuri sana huu.
  10. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Nssf mafao yangu ubungo

    Nafikiri kunashida mahala kwenye mitandao ya Serekali.
  11. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Nssf mafao yangu ubungo

    Hii kitu ni janga kabisaa
  12. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Kweli nitafanya hivyo wallah, nichagueni

    Nimetafakari nikaona bora nikachunge Mbusi aiseee
Back
Top Bottom