Mbona tulipokuwa Scandnavia iliwezekana? ni swala la kampuni kujipangilia kiutendaji na mifumo ya kibiashara ili yote yawe ndani ya mapato na matumizi na faida ya kampuni.
Unacho sema ni kweli na huo ndio utaratibu wa kuwa na madereva 2 kwa safari ndefu, ulilegezwa hasa kipindi tulitoka kwenye zile Basi za zamani nakuanza kutumia hizi Scania , Daf na kadhalika.
Mbasi ya TRC yalikuwa na huo utaratibu wa Dereva kushuka kabisa na kumwachia Dereva mwenzake gari na...
Ni kazi nzuri kikubwa wewe ujitambue ktk utendaji wako na kujua kuhifadhi kipato chako ili hiyo kazi ikuletee manufaa, karibu sana ktk utendaji huu wa kazi ya Udereva.
Nakubaliana na wewe kabisa juu ya yote uliyoyasema naomba kidogo ufafanuzi nini kinatushinda kujithamini tuweze kuwa hata na muunganiko wa kiafrika wenye nguvu ili tuweke uthubutu ktk tafiti zetu?
Huoni kama mianya ya sisi kuyumbishwa tunaitengeneza sisi wenyewe? Kuto kuwa na msiamamo na kile...
Nafikiri kama tumeweza kuuona uongo wao sasa ni wakati wa sisi kufanya ya kweli ili Dunia itambue ukweli uko wapi, maana utafiti na utendaji wetu umeweza kungamua uzushi wa Mzungu. Ni wakati sasa wa Afrika kunyanyuka tutengeneze jambo letu lenye kuweka historia za utafiti Duniani.
Ukisoma na kusikiliza Historia ya yule Mfale wa Qatar utajiuliza hawa wenzetu ubongo wao ukoje? Maana watawaliwa wanafurahia juu ya jinsi mtawala anavyo watawala, sasa njoo Afrika ndio utaona maajabu.
Afrika msamiati wa kujiuzulu kwa maslahi mapana ya Nchi na watawaliwa haujulikani wala hilo neno KUJIUZULU watawala hawalijui.
Kwa Afrika kukosolewa mtawala na mtawaliwa ni dhambi na kosa la jinai.
Kwa Afrika ukitaka utajiri kuwa mwana siasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.