Recent content by MUBENDE

  1. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa LATRA; Safari ndefu zinahitaji kuwa na madereva wawili

    Mbona tulipokuwa Scandnavia iliwezekana? ni swala la kampuni kujipangilia kiutendaji na mifumo ya kibiashara ili yote yawe ndani ya mapato na matumizi na faida ya kampuni.
  2. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa LATRA; Safari ndefu zinahitaji kuwa na madereva wawili

    Unacho sema ni kweli na huo ndio utaratibu wa kuwa na madereva 2 kwa safari ndefu, ulilegezwa hasa kipindi tulitoka kwenye zile Basi za zamani nakuanza kutumia hizi Scania , Daf na kadhalika. Mbasi ya TRC yalikuwa na huo utaratibu wa Dereva kushuka kabisa na kumwachia Dereva mwenzake gari na...
  3. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa LATRA; Safari ndefu zinahitaji kuwa na madereva wawili

    Ni kazi nzuri kikubwa wewe ujitambue ktk utendaji wako na kujua kuhifadhi kipato chako ili hiyo kazi ikuletee manufaa, karibu sana ktk utendaji huu wa kazi ya Udereva.
  4. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania NASA wanaidanganya dunia tokea zamani... wataalam wa photoshop

    Nakubaliana na wewe kabisa juu ya yote uliyoyasema naomba kidogo ufafanuzi nini kinatushinda kujithamini tuweze kuwa hata na muunganiko wa kiafrika wenye nguvu ili tuweke uthubutu ktk tafiti zetu? Huoni kama mianya ya sisi kuyumbishwa tunaitengeneza sisi wenyewe? Kuto kuwa na msiamamo na kile...
  5. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania NASA wanaidanganya dunia tokea zamani... wataalam wa photoshop

    Nafikiri kama tumeweza kuuona uongo wao sasa ni wakati wa sisi kufanya ya kweli ili Dunia itambue ukweli uko wapi, maana utafiti na utendaji wetu umeweza kungamua uzushi wa Mzungu. Ni wakati sasa wa Afrika kunyanyuka tutengeneze jambo letu lenye kuweka historia za utafiti Duniani.
  6. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas wapata pigo tena!!

    Huko mahala kupoa sijui itakuwa lini maana kila siku mto unawaka
  7. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Uingereza yaruhusu Marekani kutumia kambi zake kuendeleza mashambulizi dhidi ya Iran

    Kwakweli vita sio nzuri na ni hatari sana kwa mataifa mengine hasa yakwetu huku ambayo yanategemea sana vitu vingi kuingia kuliko tunavyo zalisha.
  8. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hawa ndio kuku na mayai yao tunalisha familia zetu. Nawaonea wivu watu wa mikoani kuwa na access na kuku wa kienyeji kila kona na kwa ukaribu

    Kama umekuwa mfugaji hilo la kuzaliwa/kutotolewa kilema ni kitu cha kawaida kabisa, hapo hakuna chaajabu.
  9. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Video ya moto kuhusu makao makuu ya IRGC nchini Iran

    Vita sio vya kufurahia jamani , wamama na watoto na wazee wanateseka sana huko.
  10. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Ni nchi za Afrika tu ambazo mpaka tatizo linafika tamati ndio tunaanza kulitatua

    Ukisoma na kusikiliza Historia ya yule Mfale wa Qatar utajiuliza hawa wenzetu ubongo wao ukoje? Maana watawaliwa wanafurahia juu ya jinsi mtawala anavyo watawala, sasa njoo Afrika ndio utaona maajabu.
  11. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Ni nchi za Afrika tu ambazo mpaka tatizo linafika tamati ndio tunaanza kulitatua

    Afrika msamiati wa kujiuzulu kwa maslahi mapana ya Nchi na watawaliwa haujulikani wala hilo neno KUJIUZULU watawala hawalijui. Kwa Afrika kukosolewa mtawala na mtawaliwa ni dhambi na kosa la jinai. Kwa Afrika ukitaka utajiri kuwa mwana siasa.
  12. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania White Brahman Beauty

    Barikiwa sana.
  13. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania White Brahman Beauty

    Ukiwaona Mbogo Rachises 0784785784 Mulla, huyu ni mkurugenzi wa Mbogo Rachises
Back
Top Bottom