Recent content by MUBENDE

  1. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Senegal: Aliyetimuliwa Uwaziri Mkuu achaguliwa kuwa Spika wa Bunge

    Kutawaka moto ambao utawaumiza sana wananchi kwaajili ya hao watawala kukinzana madarakani.
  2. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Rais wa Senegal amteua Waziri Mkuu mpya Ahmadou Al Aminou Lo

    Kwakweli kuna mahala Nchi itaporormoka tena, Afrika kutulia miaka 10 mfululizo hasa huko Mangaribi ni aghalabu sana.
  3. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Rais wa Senegal amteua Waziri Mkuu mpya Ahmadou Al Aminou Lo

    Ngoja tuone mziki huu utachezwaje na wananchi maana wapigaji wachache wanaocheza ni wengi.
  4. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand: Mimi si Mwanasiasa na sijaja Tanzania kuzungumzia siasa, sipangiwi cha kufanya

    Penye giza nuru hujitenga.
  5. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya Maji Uyole, Nimeilipa, huduma hakuna!

    Shida kubwa idara nyingi za Serekali uwajibishwaji ni mdogo na hakuna kabisa kwahiyo ni ngumu sana wahusika kufatwa majukumu yao kwa uhakika na kwa weledi. Zaidi hapo utaambiwa vifaa havijakuja toka mkoani na ukifwatilia utaambiwa vifaa havijaja kutoka ofisi ya kanda yetu mgao wetu ni mpaka...
  6. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Nimeenda kukodi ambulance nikaambiwa hakuna utaratibu huo

    Pole sana lakini nafikiri hao tu ni utaratibu wao lakini hata Muhimbili ukilipia kwa utaratibu walio uweka unapatiwa huduma ya gari la wagonjwa.
  7. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Wakati Tanzania tukisubiri Mvua, China wao wanajenga mito mikubwa kubadilisha Uchumi

    Kuna wale jamaa wanitwaga wabobezi wa uchumi na wasomaji wa takwimu za uchumi hapa wao hawaoni kabisa kuwa nayo hii mito ni fursa?! au bado wapo kwenye upembuzi yakinifu?
  8. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Sasa tunaelekeze macho Vita vya Horms

    Hii vita kwakweli tutaona maajabu na kila ujeuri wa kila upande,balaa linakuja kwetu sisi tusio na upande wowote tunaumia kwa wakubwa kuto kubaliana.
  9. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Una picha gani katika simu yako ambayo inafikirisha

    Mungu mwenyezi amjaalie kila hatua aipigayo Mama huyu apate hitaji kwa kadiri yako Mungu. Inahuzunisha sana na hapo utakuta anasomesha na kodi ya Nyumba inamngoja.
  10. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Kenya Yaungana na Zimbabwe Kupiga Marufuku Kuuza Madini Mkakati Ghafi (Rawa Critical Minerals) Nje ya Nchi

    Utashi wa viongozi ndio mhimili wa Rasilimali za Nchi. Hofu ya Mungu husaidia kuleta maamuzi mazuri na yenye manufaa kwa Taifa.
  11. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Wakati Samia akisema Deni la Tanzania ni Sitahimilivu, Namibia wamaliza deni lao

    Shida kubwa Taifa tuna malengo gani? Hilo nilakujiuliza sana kama mipango ya kuliendeleza Taifa linachukuliwa kwa uzito gani.
  12. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Uchagani bhana! Unakuta bonge la mjengo hakuna mtu anaeishi hapo. Ukicheki nje, kuna makaburi 9 au 10

    Sina uhaklika kama unachosema kinaukweli
  13. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania Uchagani bhana! Unakuta bonge la mjengo hakuna mtu anaeishi hapo. Ukicheki nje, kuna makaburi 9 au 10

    Duh! Mbona umetufokea hivyo?! 😂 😂
  14. MUBENDE

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri wa Mawasiliano Burundi akutwa amefariki kwenye gari lake

    Apumzike kwa amani, Kifo ni siri na fumbo kubwa sana kwa mwanadamu kulitengua ni ngumu. Tumwombe Mungu atujaalie mwisho mwema.
  15. MUBENDE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chama cha Wamiliki wa Matatu chaongeza nauli kutokana na gharama za uendeshaji kupanda

    Kuna watu wanajua kufanya kazi kwa kushirikiana ili kila mmoja afikie malengo yake hata kama unafuu haupatikani, tumwombe sana Mungu.
Back
Top Bottom