Shida ni sisi tunaona hivyo je hao wakubwa wanaona haifai? Tuombe Mungu vita iishe mkuu haya mengine yapo nnje ya uwezo wetu hasa ya makubaliano yao binafsi.
Nafikiri kuna mikataba waliingia na huyo USA sasa kuitoka sidhani kama ni rahisi maana haw wakubwa wana mambo yao wanayajua wana gawana wanavyo jua wenyewe sisi tunabakia kukisia tu.
Hii inatuonyesha huu mgogoro sio wa pole pole ni kati ya kitu kizito sana kimeupiga ulimwengu na lazima tutatikisika sana hasa sisi Nchi zisizo na mipangilio madhubuti ktk uchumi wetu kwenye matumizi makubwa. Uchumi wa Dunia lazima utikisike hasa vita hii ikienda kwa muda mrefu itakuwa jambo la...
Hivi hii miradi mbona nchini kwetu iliyeyuka? mmoja ulikuwa pale makambako mwingine ulifanyiwa tathmini Singida njia ya kwenda Arusha halafu vikaishia kwenye makabrasha vimiwekwa masijala basi imeisha hiyo. Huwa najiuliza hawa Ethiopia wana akili gani? au wao sio waafrika?
Tuseme ukweli hii vita kufa kwa viongozi itaifanya isiishe mapema jambo amabalo litatuletea mtikisiko sisi upande wa kupokea vingi hasa Mafuta na misaada kutoka Nchi wafadhili. Tuombe Mungu wakubwa hawa wakubaliane mzozo uishe.
Kuna timu za Uiaya zilikuwa zinagoma na walitusema kabisa wachezaji wasiruhusiwe kuja maana hilo kombe halina heshima yoyote kwa sasa na kweli sasa imekuwa kama walivyotabiri. Na bado maajabu yataendelea utasikia baadhi ya Nchi zitzlisusia hilo kombe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.