Umejitahidi kuandika pasipo kuanisha vyanzo vya chuki
Chuki huwa hainzi tu,husababishwa na visababisho vikubwa ni uminyaji wa haki
Labda tu kina kitu ulicho kitahadhalisha ni rahisi adui kushinda kwakua tumekosa umoja wa kitaifa ni vema sana kwa wasababishi wa chuki hizo wakaelewa tumekosea...
Nilichogundua ni Kwamba ,wasaidizi wa raisi ndio wabaya wanao mchonganisha Rais na Tundu Lissu huwezi kueneza ubaya kaiasi hicho alafu Rais asiamini Tundu Lissu sio mbaya hivi Deko ni kumwambia Raisi afate utawala wa sheria,Deko ni wananchi kuuwawa kwa misingi ya kiitikadi,Deko ni kutoa...
Paskali unachokizungumza ni cha ukweli ,ila watanzania huwa hawasahau maana wanajua viongozi ni kina nani na wachumia matumbo ni kina nani,
Jambo la kuliweka akilini ni kwamba CCM imeshindwa siasa inatumia hovyo Pesa za umma kwa kushirikiana na vyombo vya dola,hivyo haya kwa watu wenye upeo...
Habari za alfajiri Chief,huwa nasoma makala zako nyingi na unakua na hoja nzito na zenye mashiko,samahani naomba tuwekane sawa kwenye hoja ya uraia pacha kitu ambacho napingana nacho kitambo
Labda ningependa kufamu hili kwa uchache,umefikiri vipi kuhusu mtanzania masikini anaeishi kwa mlo...
Mh. Mwigulu kinyago ulicho kichonga ndio tatizo maana kinakufanya uwe kimya ukihofia nguvu yake na kwajinsi kilivyo jiinua busara yako ndio itakusaidia ila kumbuka whats goes arround come arround
Wengi wetu tumesikia majibu ya waziri mkuu kuwa mawaziri wapo kihalali na wameidhinishwa toka tarehe 24 ya mwezi huu wa nne hivyo nikataka kujua kisheria maamuzi waliyokua wakiyafanya kabla ya tarehe hiyo yatakua na uhalali wowote kisheria?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.