Kama mawaziri wameidhinishwa tar 24 maamuzi yao kabla ni batili

Muarobaini

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
215
73
Wengi wetu tumesikia majibu ya waziri mkuu kuwa mawaziri wapo kihalali na wameidhinishwa toka tarehe 24 ya mwezi huu wa nne hivyo nikataka kujua kisheria maamuzi waliyokua wakiyafanya kabla ya tarehe hiyo yatakua na uhalali wowote kisheria?
 
Back
Top Bottom