Wana JF.
Nina ndugu yangu ana miaka 25, anasumbuliwa na tatizo tangu 28.06.2015 mpaka hivi leo yaani anahisi kuna vitu vinamtembea mwilini mpaka wakati mwingine anafikia kujikuna mwili na ni maeneo ya tumbo na mgongo yaani usawa wa kuanzia kiunoni mpaka mabegani, amekua akiogopa hata kwenda...
hawa jamaa ni wanafiki na majungu tu ndo wanaweza juzi wametoa statistics za kinafiki na uongo eti clouds tv ndio kituo kinacho ongoza tz kwa kupendwa na kuangaliwa then itv kuna ukweli wowote kweli juu ya hili? binafsi hawa jamaa huwa siwaelewi kabisa angalia kile kipindi cha magazeti asubuhi...
we we
mleta mada ni mvivu wa kufikilia lakini pi huitakii mema Tanzania, hlo ni jambo la kushangilia kama mtu uliepevuka kweli? kua kiakili acha ushabiki usiokua na msingj na hiyo sacoss yako
kaka magufuli hauuzwi na mtu yeyote, anajiuza mwenywe, jambo alilolisema polepole lina ukweli ndani yake, wewe ndo unaona hana lakuchangia katika hapo ila huyu bwana alichokisema ni cha ukweli ndugu, lakini pia upepo wa slaa mwaka huu sio wa mwaka 2010.
But accordind to st. Thomas acquinas in his thoughts he said that, a good manager is the one who can manage his or her steps, hiyo alternative yako siyo ya kisomi na inaonekana wewe unasoma kufauru na sio kuelimika, ukielimika utabuni njia mbadala ambayo itakutofautisha na mtu ambaye hajaenda...
Achaga uongo mr. Mbona unakua kama first year na tabia zao za kushindanisha vyuo? Na nina uhakika kabisa wewe utakua first year na g.p.a yako ya 2.8 first semister
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.