Duh wewe mtoto noma kwa kuwafata wanaume,juzi umenifata Mimi Tunduma ndio maana nilikuacha nilijisi wewe ni Malaya sn
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nimekuelew,Nipe makadirio ya TOYOTA VOLTZ ya mwaka 2004 ,Yenye kilometre chini ya 100KM na 4wheel inaweza kufinga kwa tsh ngapi? Kama upo serious tufanye biashara mkuu
Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Habari wana jf,
Kama kichwa cha habali kinavojieleza hapo juu,naomba msaada kwa anayejua vizuri hiyo gari uzuri na mapungufu au changamoto zake kwani nimeipenda nataka kuagiza japani kupitia BEFOWARD ,Najua humu kupitia hapa nitapata ushauri mzuri kwani sina ndg au rafiki aliyewahi miliki gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.