Ukitaka kujikumbusha unafiki wa CCM kwenye mambo ya maridhiano rejea miafaka yote ya CCM Zanzibar na wapinzani. Mara zote yamekuwa ya uongo na ulaghai.
Watu wamevurugwa na wanataraji wazazi waendelee kuwalea milele. Tunasema mtoto hawajibiki kumtunza mzazi wake kwa sababu hakuomba kuzaliwa. Ila hatuwaambii watoto ni lini jukumu la wazazi kuwalea watoto linakoma.
Kufanya jambo lile na kutarajia matokeo tofauti ni kujidanganya tu.
Mazungumzo yote tangu 90s mpaka sasa hivi CCM hawajawahi kuwa na nia ya kutenda haki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.