Recent content by Mtutuwandei

  1. M

    Nataka kumuamini Nchimbi, lakini nimepoteza imani na mwana CCM yeyote

    Zanzibar miaka ya 70 ilikuwa hakuna mtihani wa darasa la saba. Ni la kwanza hadi kidato cha tatu.
  2. M

    KERO Kwa nini TRA wanaomba nyaraka ambazo tayari ulishazitoa Brela wakati unafungua kampuni?

    Uhamiaji kila unapotaka hati mpya wanakudai nyaraka ambazo uliwasilisha mara ya mwanzo ulipoomba hati. Hii ni hata kama ushahuisha hati mara nyingi.
  3. M

    Temeke: Jinsi Tozo inayoitwa SERVICE LEVY inavyokomesha Wafanyabiashara

    Kutoka kwenye mauzo. Shida unalipa service levy ikisha ulipie takataka.
  4. M

    Temeke: Jinsi Tozo inayoitwa SERVICE LEVY inavyokomesha Wafanyabiashara

    Nadhani kiwango cha city service levy ni 0.25%.
  5. M

    Taifa la Ovyo namna hii!

    Abduli ni myth. Hana nguvu yoyote kwenye maendesho ya nchi.
  6. M

    Taifa la Ovyo namna hii!

    Wanapokuwa madarakani tunawasema kwamba ni wale wale. Wakishafariki tunawapamba kuwa ni watetezi wetu ndiyo maana "wameuawa"
  7. M

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    So mazoezi si uhakika wa kutotokea vifo vya ghafla.
  8. M

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Wanamichezo vijana washaanguka viwanjani na kufariki. Marc Vivien Foe Hussen Tindwa
  9. M

    Why are tanzanian landlords demanding 6 months rents

    Kenya kumtoa asiyelipa kodi haina siasa kama Tanzania.
  10. M

    Nasikitishwa kuona Waziri Mkuu anazurura mtaani ati anatatua changamoto

    Sisi hadi mwenge unazindua miradi na kuibua ufisadi. Namna yetu ya kuendesha mambo ni ya kipekee. Tumeona Waziri Mkuu, mawaziri wakiibua ufisadi. Wanapewa taarifa kisha wanakwenda na kamera zao.
  11. M

    Nini kinaendelea? Internet ni shida na Askari wapo kila kona

    Nishawaona viongozi kadhaa wakristo wamevaa kanzu na baraghashia kwenye hafla za waislamu.
  12. M

    Makubaliano yamefanywa Muungano umevunjwa rasmi bila maandishi wala tangazo na Zanzibar inaruhusiwa kujifanyia kila kitu isipokuwa kuwa na jeshi

    Baada ya vuguvugu la G55 CCM walitoka na kauli ya serikali mbili kuelekea moja. Nini kimekwamisha utekelezaji wa sera yao hii.
Back
Top Bottom