Recent content by Mtutuwandei

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa aina ya mwili wangu.

    If this is you and you are 6ft 4in and 89kg you are ok. Just stay fit
  2. M

    JamiiForums Tanzania Jumbe Kutekwa na Genge la Wazanzibari, Wamarekani Walikuwa Sahihi Kuogopa Zanzibar Ikiachwa Itakuwa Nyumba Ya Magaidi

    Kama kulikuwa na mkono wa Marekani katika uundaji wa Tanzania ni kwa sababu ya vita baridi baina yake na Urusi. Haya ya ugaidi wa kiislamu ni hadithi za karibuni.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Rio asilaumiwe sana kuja Tanzania kwa mgongo wa serikali

    Watu wengi wa Ulaya hata hawajui Tanzania ni nini. Nakusudia raia wa kawaida.
  4. M

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi za RITA Makao Makuu wanaongoza kutupotezea wateja muda

    Kwa bahati mbaya rushwa ndiyo mfumo wa maisha yetu Tanzania. Tunakwenda kufata huduma tukiwa tumejiandaa kutoa rushwa.
  5. M

    JamiiForums Tanzania KERO Ofisi za RITA Makao Makuu wanaongoza kutupotezea wateja muda

    Ofisi zote za umma ziko hivyo.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya matukio mazito ya kihistoria kitaifa kuanza kudharauliwa na mamlaka husika

    Kulikuwa na Spice Islander.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nitaenda Magogoni kuhoji hili jambo

    Kwa ya Dar labda wanafuta historia ioneshayo mengi ya majengo hayo yalijengwa na wahindi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania David Djumbe (Msaidizi wa Lissu) atekwa

    Dalili zipo tangu 1995 chini ya utawala wa Komandoo Zanzibar mpaka 2001 kwa mauaji ya waandamanaji Pemba. Sasa hivi upinzani umeimarika Tanganyika na kusababisha watawala kubabaika. Hata CCM Zanzibar wanaishi na hofu kwa yanayoendelea Bara. Anguko la CCM bara moja kwa moja litasababisha...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Na mtoto anayechukuliwa mwanzo anakuwa wa mwisho kurudi nyumbani.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Shule ya chekechea watoto wanatakiwa wamalize si zaidi ya saa saba mchana. Labda iwe ni day care centre.
  11. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jihadhari Sana na Kitu kinaitwa Vodabima. Unaweza Kupoteza Pesa Yako. Ni Mfumo wa Kubahatisha

    Unaweza. NHIF uwe na NIDA. Haina ukomo wa umri. Private ni Strategies, Britam, Jubilee na wengineo. Ukiwa na umri zaidi ya miaka 60 wanakukataa. NSSF. Hii unajiunga kuwa mwanachama wa hiari. Shida yake unatakiwa kuchaguwa hospitali moja tu ya kutibiwa. Hospitali nyengine hadi upate rufaa.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Salma Kikwete: Lini Serikali itatupatia pesa kukarabati mradi wa maji tarafa ya Milola? Ni mradi wa tangu 1980

    Kwa maneno ya Jenerali Ulimwengu tumekuwa na awamu moja ndefu iliyoanza 1961.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Saa 11 alfajiri unakuta watoto wa miaka 3 mapajani mwa dada wa kazi wamelala usingizi wanasubiri basi la shule.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Roho Mbaya na Wivu wa Majirani: Kisa cha mtoto aliyetambaa hadi ndani ya gari Arusha kitufundishe umuhimu wa CCTV

    Ila na yeye kuamini kupigwa juju ni aina ya umasikini pia.
Back
Top Bottom