Kama kulikuwa na mkono wa Marekani katika uundaji wa Tanzania ni kwa sababu ya vita baridi baina yake na Urusi. Haya ya ugaidi wa kiislamu ni hadithi za karibuni.
Dalili zipo tangu 1995 chini ya utawala wa Komandoo Zanzibar mpaka 2001 kwa mauaji ya waandamanaji Pemba.
Sasa hivi upinzani umeimarika Tanganyika na kusababisha watawala kubabaika. Hata CCM Zanzibar wanaishi na hofu kwa yanayoendelea Bara.
Anguko la CCM bara moja kwa moja litasababisha...
Unaweza.
NHIF uwe na NIDA. Haina ukomo wa umri.
Private ni Strategies, Britam, Jubilee na wengineo. Ukiwa na umri zaidi ya miaka 60 wanakukataa.
NSSF. Hii unajiunga kuwa mwanachama wa hiari. Shida yake unatakiwa kuchaguwa hospitali moja tu ya kutibiwa. Hospitali nyengine hadi upate rufaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.