Recent content by Mtutuwandei

  1. M

    JamiiForums Tanzania Maneno ya Nchimbi hayana maana yoyote ile!

    Ukitaka kujikumbusha unafiki wa CCM kwenye mambo ya maridhiano rejea miafaka yote ya CCM Zanzibar na wapinzani. Mara zote yamekuwa ya uongo na ulaghai.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Maneno ya Nchimbi hayana maana yoyote ile!

    Kwamba maneno yake ni propaganda za 2030? Basi ni kweli hayana maana.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Msuguri na Mahundi wasingeruhusu huu ujinga wa kuiba kura

    Zanzibar ishazoeleka msimu wa uchaguzi jeshi linatembeza vifaru mitaani. Na wanakuwa nyuma kuwalinda janjaweed na mazombi.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Msuguri na Mahundi wasingeruhusu huu ujinga wa kuiba kura

    Haya wengi wetu hatutaki kuyakubali kwa sababu za kumtukuza Mwalimu.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya mzazi huko mwananyamala

    Watu wamevurugwa na wanataraji wazazi waendelee kuwalea milele. Tunasema mtoto hawajibiki kumtunza mzazi wake kwa sababu hakuomba kuzaliwa. Ila hatuwaambii watoto ni lini jukumu la wazazi kuwalea watoto linakoma.
  6. M

    JamiiForums Tanzania World Cup Final: Spain 1-0 Argentina | Julai 19, 2026: | Metlife Stadium | Spain Bingwa

    Argentina walikuwa watoke kwa Misri. Ila ndiyo hivyo tena wakubwa lazima wabebwe.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Watu mashuhuri 10 waliopendwa sana na hayati Magufuli katika utawala wake wa awamu ya 5

    Halafu tunaambiwa kwa kurudia rudia kuwa aliuliwa. Magufuli alikuwa na kiburi hadi kwa afya yake.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Zanzibar futeni history ya kusema Karume ni mwanamapinduzi yenu

    Wakati wa A A Karume kushambuliwa naona umefika.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Zitto Mshauri OMO kuwa Pragmatist,Acheni Ujinga Pelekeni Majina ya SUK, Kususa Hakusaidii KITU

    Kufanya jambo lile na kutarajia matokeo tofauti ni kujidanganya tu. Mazungumzo yote tangu 90s mpaka sasa hivi CCM hawajawahi kuwa na nia ya kutenda haki.
  10. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini wenye nyumba Tanzania wanalazimisha kodi iwe miezi mitatu au sita?

    Halafu ni vigumu sana kumtoa asiyelipa kwa wakati kwa sheria zetu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tamko la Uhuru wa Marekani

    Hii ilikuwa 1776 lakini iliwachukuwa takriban miaka mia mbili kupiga marufuku "segregation" kinyume na tamko lao kwa watu wote wameumbwa sawa.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mapinduzi ya Zanzibar yasiyo na shukrani kwa John Okello

    Mastermind wa mapinduzi ya Zanzibar yumkini alikuwa Mwalimu.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msemaji wa Serikali Msigwa, ashindwa kujibu tuhuma nzito za CAG Mstaafu Prof Assad, juu ya Waziri mwenye ukwasi wa kutisha!

    Polisi hawakufanya upelelezi wa Lissu kumiminiwa risasi kwa madai kwamba dereva wa Lissu hayupo na Lissu mwenyewe alikuwa Ubelgiji.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Prof. Assad: Kesi yangu ya kutenguliwa iko Mahakama ya Rufani, Mwaka wa Sita haisikilizwi

    Kwamba hata Magufuli alitumika na huo uitwao mfumo. Kwa mantiki hii hakuna wa kulaumiwa. Hata 29 Oktoba tuseme ni ya mfumo?
Back
Top Bottom