Habarini za saa hizi wapendwa,
Jamani eti kichwa kuuma na mwili kuuma mara baada ya siku moja baada ya ku 'do' (kufanya mapenzi) ni dalili za ujauzito au ni kuchoka tu?
Maana naona ni mapema sana. Wenzangu mnaoelewa mnisaidie..
Heshima kwenu..
habarini za saizi wapendwa jamani eti kichwa kuuma na mwili kuuma mara baada ya siku moja baada ya ku do ni dalili za ujauzito au ni kuchoka tu mana naona ni mapema sana wenzangu mnao elewa mnisaidie, heshima kwenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.