mtumwa wa mungu
Member
- Dec 27, 2014
- 38
- 2
Habarini za saa hizi wapendwa,
Jamani eti kichwa kuuma na mwili kuuma mara baada ya siku moja baada ya ku 'do' (kufanya mapenzi) ni dalili za ujauzito au ni kuchoka tu?
Maana naona ni mapema sana. Wenzangu mnaoelewa mnisaidie..
Heshima kwenu..
Jamani eti kichwa kuuma na mwili kuuma mara baada ya siku moja baada ya ku 'do' (kufanya mapenzi) ni dalili za ujauzito au ni kuchoka tu?
Maana naona ni mapema sana. Wenzangu mnaoelewa mnisaidie..
Heshima kwenu..