Kazi hii ni ya mkataba wa mwezi mmoja ambao unaweza kuongezwa. Mfasiri/mkalimani huyo, anatakiwa kuwa na sifa ya uelewa mzuri wa lugha zote mbili, alie na uwezo wa kufasiri kwa kasi na ufasaha mazungumzo ya papo kwa papo na hata yale ya sauti katika picha za video. Awe na ufahamu wa matumizi ya...
Natafuta wafasiri wanaoweza kufasiri lugha hizi kwenda katika Kiingereza: Bangala, Kizigula na Mai Mai.
Walio na uwezo huo,tafadhali karibuni inbox.
Asanteni.
Natafuta wafasiri wanaoweza kufasiri lugha hizi kwenda katika Kiingereza: Bangala, Kizigula na Mai Mai.
Walio na uwezo huo tafadhali waje inbox.
Asanteni.
Natafuta wafasiri wanaoweza kufasiri lugha hizi kwenda katika Kiingereza: Bangala, Kizigula na Mai Mai.
Walio na uwezo huo tafadhali waje inbox.
Asanteni.
Habari gani wakuu?
Napenda kuwataarifu kuwa tumeandaa chapisho tunalotegemea kuliingiza mitamboni ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na ufugaji wa Kuku na samaki.
Kutokana na machapisho yetu kusomwa na watu wengi hapa Tanzania na katika nchi za Afrika Mashariki pamoja na mwamko wa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.