Recent content by mtumnene

  1. M

    JamiiForums Tanzania Eng Mbura Chiragwile Ubunge Musoma Vijijini 2015

    Mbura Zakaria Chiragwire ni graduate wa Electronics Science and Communications. Hii degree program haikuwa CoET bali ilikuwa FIVE wakati huo akiwa anasoma. Alipata kugombea uraisi wa DARUSO na akashika nafasi ya pili. Sio Engineer kwa maana degree yake sio ya Engineering (Hardware or Software)...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Uchaguzi wa Udiwani Feb 09, 2014: CCM yaibuka kidedea!

    Wakati watu wengi walipokuwa wanajaribu kutoa maoni yao kuhusu namna bora ya kuwaendea wananchi, waliishia kubezwa na kuonekana hawafai na pengine kuambiwa waende CCM! Wengine walitahadharisha kuwa wakati wa kupiga kura, mtawahitaji na hao mliokuwa mnawabeza, lakini wapi! Asanteni watanzania...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CHADEMA hawajawahi kushiriki kikao chochote kilicho idhinisha 160m kwao

    Tulitarajia hao wabunge waliobaini na kuikwamisha hiyo agenda wasimame majukwaani kama ilivyo ada watutangazie umma kuwa kuna ufisadi ulikusudiwa kufanywa na hivyo wameubaini na wanaomba nguvu ya UMMA kuandamana kulipinga hili. Kukaa kwao kimya mpaka tunapata info kupitia source zingine kunaweka...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Utabiri wa anguko la wabunge wa chadema 2015

    Kwa TUNDU LISSU nakuunga mkono. Mimi ni mpiga kura wa jimbo la Singida Mashariki, kiukweli TUNDU LISSU akirudi tena bungeni kupitia jimbo hilo basi itakuwa ni moja ya maajabu 8 ya dunia. Hana msaada wowote kwa jimbo, ziara zake zinaishia makao makuu ya jimbo (alipozaliwa, Ikungi) tu. Hata sisi...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Zitto aweka pingamizi Mahakamani kuzuia Kikao cha Kamati Kuu kujadili rufaa yake kesho

    Tatizo watu tunaendeshwa na Emotions badala ya reality. Soma utetezi wake ambao ndo uliompeleka mahakamani. Katiba ya CHADEMA imebanangwa na wanaopaswa kuisimamia na kuilinda
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hatimaye CCM wasema athari zile Nkamia na mwenzake leo Bungeni

    Na wewe ulifaulu Kiswahili?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Lema: Zitto Nipe Majina ya wezi walioficha pesa Uswisi niwataje, kama wewe unaogopa kuwataja.

    Kwani LEMA naye si mbunge? Kwanini asifanye uchunguzi wa utoroshwaji huo wa pesa? Anataka kudandia hoja tu, kutaja tu majina sio kuchukua hatua. Kwani mafisadi 11 wamechukuliwa hatua gani? ZZK anataka kufanya procedural follow up na sio kuhubiri jukwaani tu
  8. M

    JamiiForums Tanzania hongera Zitto kwa msimamo

    Tatizo la kudandia hoja. Hizo tuhuma unazosema ZZK azijibu CHADEMA kupitia kwa JOhn Mnyika walizikanusha kuwa siyo za Chadema. Sasa amjibu nani? Pevuka Kisiasa acha mkumbo utapotea
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

    Hizo Listi mnazozitaja, ni kutokana na maamuzi ya wapiga kura wa maeneo husika au kwa hisia zenu? Siasa hazipo hivyo, kuweni wakweli. Shibuda labda asiamue kugombea, lakini wasukuma lazima wamchague
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

    Dada Zahra White, unaonekana ni mtu wa mjini wewe, bila shaka hukufunga ndoa kabla ya "kuonjana". Na bila shaka uliridhika na nguvu yake alipokuwa anaishia ndo maana ukaamua kuolewa nae. Kama hukuridhika nae na ukajilazimisha kuolewa nae basi hilo ni kosa la kiufundi ulilolifanya na kamwe...
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwaka wa pili mpenzi wangu hataki tufanye mapenzi wakati huo huo anadai ananipenda

    :tonguez:
Back
Top Bottom