Uwezo wa Mheshimiwa Zitto huwezi kufananisha na hafidhina yeyote ndani ya CDM
Ni kweli ana uwezo mkubwa sana wa usaliti huyu zitto
Uwezo wa Mheshimiwa Zitto huwezi kufananisha na hafidhina yeyote ndani ya CDM
wewe mjinga, avatari yako ni ya mtanzania ambaye aliimbwa kila kona na kutukanwa na kila mtu eti msaliti miaka ya 70
imegundulika miaka ya tisini zilikuwa siasa za majitaka za nyerere
uwe na akili, usipende kuambiwa na kuaminishwa vitu vya ovyo
![]()
Ndani ya chdema Zitto pekee ndiye anaeonekana kuwa na akili kuweza kukisaidia chama hicho,waliobaki ni majanga hawana nia njema na chama wanataka kujinufaish matumbo yao tu!
!
Nawashukuru sana chadema kwa kuweza kuweka utaratibu wa kidemorasia wa umpa zitto muda wa kujitetea. lakini mbona jamaa haonngei kuhusu viambatisho vilivyowekwa kwenye mtanndao vikionesha jinsi anavyolipwa mamilioni na mamlaka ya ngorongoro na malaki arusha hotel.
kinachoshangaza kingine tuhuma za kulipwa madola ya mihela na jack zoka kupitia kwa andrea cordes ujerumani, meseji na simu alizowasiliana na watu hawa hajibu hata kidogo. MIMI NIMEKUBALI KUWA JAMAA NI BALAA.
muda wote aliopewa mbona hajitokezi kuongea issues badala yake anatafuta huruma ya watu na kauli za wapambe wake. FUKUZA KABISA ZITTO ILI CCM IJIPANGE TENA KWA AIBU NYINGINE.
Kabati lilishapinduliwa na mende! Imebaki historia.
lara1 sikutarajia kama unakuwaga huku. nimekuzoea kule kwenye jukwaa la Mapenzi na Mahusiano. Anyway, ulikuwa unamaanisha nini hapo?Kabati lilishapinduliwa na mende! Imebaki historia.
Nawashukuru sana chadema kwa kuweza kuweka utaratibu wa kidemorasia wa umpa zitto muda wa kujitetea. lakini mbona jamaa haonngei kuhusu viambatisho vilivyowekwa kwenye mtanndao vikionesha jinsi anavyolipwa mamilioni na mamlaka ya ngorongoro na malaki arusha hotel.
kinachoshangaza kingine tuhuma za kulipwa madola ya mihela na jack zoka kupitia kwa andrea cordes ujerumani, meseji na simu alizowasiliana na watu hawa hajibu hata kidogo. MIMI NIMEKUBALI KUWA JAMAA NI BALAA.
muda wote aliopewa mbona hajitokezi kuongea issues badala yake anatafuta huruma ya watu na kauli za wapambe wake. FUKUZA KABISA ZITTO ILI CCM IJIPANGE TENA KWA AIBU NYINGINE.
Mjinga ni wewe usiyejijua kwa kunukuu nyimbo /taarabu na avatar! jitambue na ujadili hoja! buku saba umepewa pale lumumba?
Mh.Zitto is a man of CCM liko wazi hilo mkuu.Mh zito a man of the people
Nafikiri Mchukueni ninyi CCM kama mnadhani mtawezana, au muulizeni Mh.Werema alivyo mwona mzigo aksema Zito ni Mzito.Yeye anaangalia fedha zaidi.Mkuu kwa kiongozi kama ZITTO mm sishangai,jamaa ni kichwa sana na pia mzalendo wa ukweli,yeye anaumia sana chadema inapotetereka,ZITTO tangia akiwa na miaka 16 ameshiriki kukijenga chama tokea ngazi ya kijiji hadi taifa kwa moyo wa dhati kabisa,ametumia kila mbinu na rasilimali zake kuwavuta vijana ndani ya CDM lakini shukrani ya punda mateke,Leo anaitwa msaliti na masalia ya CCM!!wana CDM leo tunasahau juhudi za ZITTO kwa tuhuma za kutunga,hapana vijana tusikubali kutumiwa...hongera ZITTO kwa msimamo
Baada ya kumsikia AG na Lukuvi, bado una msimamo huu?nimeguswa baada ya kuona zitto akiwaasa vijana kutokuwafanyia fujo viongozi wao.pia nimefurahi kwamba amekata rufaa kamati kuu. hongera kwa hili ,wana JF mpo?????????????????????????????????????????????????????????????? karibuni tupo pamoja hadi kieleweke.......................
Umemsikia ZITTO naye kasema nini?usihukumu kwa story ya upande mmoja,Baada ya kumsikia AG na Lukuvi, bado una msimamo huu?
Umemsikia ZITTO naye kasema nini?usihukumu kwa story ya upande mmoja,