Recent content by mtumishi askofu

  1. M

    Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

    Katika nchi zinazoiumiza kichwa mkoa wa Rwanda haupo
  2. M

    Gharama ya kuprint jarida Tanzania

    Wakuu kwa anayejua kampuni ya kuprint jarida la page 20 ukubwa wa A4 naomba mawasiliano au gharama harisi
  3. M

    Bora Mbeya ikawa makao makuu ya nchi kuliko Dodoma

    Unahasira na wenyeji wa mkoa wa Dodoma jipige kifua mara tatu sema Mungu nitoe kwenye dhambi ya wivu miji yote Iko poa kutegemea issues zako tu kuna mbeya humtoi hata kwa greda na kuna myakyusa Dom humtoi hata kwa Nini offcource umeongea veper tu
  4. M

    Waafrika Jitafakarini Katika Hiyo Miungu Mnayoiabudu

    Ngoja siku uambiwe ini lako limeoza ndio utajua yupo Mungu
  5. M

    Utabiri: Kagame kuchukua Eastern Congo, Kabale, Burundi, Kagera na Kigoma miaka ijayo

    Pumba tupu akamuulize Idd Amini alipotaka kuchukua tarafa Moja tu ya Missenyi Nini kilimtokea we are silenci ila wanatujua hatuna maneno ya kanga eti kuimarika uchumi wa Rwanda ! angalia GDP yao afu uje uongee huu utopia
  6. M

    Mwenye kufahamu taratibu za kupata lesseni ya uzalishaji mbegu anisaidie

    unajiona mwerevu sijauliza wapi napata leseni nauliza taratibu za kufuata
  7. M

    Mwenye kufahamu taratibu za kupata lesseni ya uzalishaji mbegu anisaidie

    huna majibu unaishia kutukana kuwa mstaarabu kidogo ungepita tu ungeonekana kuwa na busara
  8. M

    Mwenye kufahamu taratibu za kupata lesseni ya uzalishaji mbegu anisaidie

    Wakuu Mimi ni Kijana Mtanzania ninajishughurisha na kilimo cha mazao ya biashara siku za karibuni nimejikuta nanunua MBEGU Toka kampuni za ndani kigeni kama Toka India , Ufaransa , nk zina ubora ila baadhi ya MBEGU zinazozalishwa hapa nchini na kampuni za ndani nyingi hazina ubora . Hivyo...
  9. M

    Mliooa kwenye familia za kimasikini na wewe mwenyewe masikini tupeni mbinu

    Bahati mbaya umeshaoa kwa amabao bado siwashauri kuoa familia masikini ,mi nilikuwa kwenye ndoa na nilioa familia fukara mwanzo tulienda nao sawa niliwapiga sana kampani sana ila walipotoka tu kimaisha walinibwaga sikuamini ila nilimwachia Mungu tu
Back
Top Bottom