Recent content by Mtumishi 19

  1. Mtumishi 19

    Tetesi: Inasemekana, waraka wa kwaresma wa TEC-2026 upo tayari na umejaa maoni binafsi ya katibu mkuu wa baraza hilo pekee

    Ukitukanwa utalalamika? Unaleta ushenzi na uchawa wako hapa unafikiri Watz ni wa nyakati zile? Kuku wa broila wewe!!
  2. Mtumishi 19

    Hivi mbona M-Wekeza gawio ninalopata haliendeni na kiwango changu, mwezi uliopita Nina 19 M wakaniwekea gawio la 158000

    Aisee ila watu mna moyo. Ina maana kwa mwaka mzima umepata 150k+? Faida hiyo, nakutengenezea kwa mtaji wa kati 30-50 tu kwa mwezi.
  3. Mtumishi 19

    Kijana, don't settle with your agemate

    Utetezi namba moja. Age sio kigezo cha usemayo case closed! Umri haujawahi kuwa ishu hata siku moja, hako kadogo-kadogo kanaweza kukuhenyesha mpaka ukamtamani mshangazi. Kwenye ishu nzima ya Mahusiano kinachoamua mdumu au msidumu ni kwa kiwango gani mmeoana au kuendana. Vinginevyo ni sarakasi...
  4. Mtumishi 19

    Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

    Ninyi ndo wale kamati za roho mbaya😀 Inawezekana kuna sehemu uliteleza, sasa kisiwe kigezo cha kuwakatisha tamaa wengine? Badala yake waambie wenzako ulikosea wapi ili wasikutane na yaliyo kupata.
  5. Mtumishi 19

    Hizi nyumba zina siri nyingi sana, watu wengi hawana vitanda

    Huwa nawaambiaga watu😀😀 ukimuona sharobaro yeyote mkimbie kama ukoma
  6. Mtumishi 19

    Kuhusu huduma za kibenki

    Na kweli! Hawa ndo wanatulazimisha tuweke hela kwa vibubu
  7. Mtumishi 19

    Kuhusu huduma za kibenki

    Wakuu habari za mda huu. Hivi Benk zetu wameshindwa kabisa kubuni mfumo wa kutoa huduma kwa uharaka? Imagine leo nimeenda bank kwa ajili tu huduma za mkononi. Lakini unatumia almost masaa matatu kwa ajili ya huduma hii kweli?
  8. Mtumishi 19

    Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    Shauri yao walao wake za watu😀
  9. Mtumishi 19

    Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    Kusema ukweli wa Mungu, mimi wake za watu nawaogopa, na sitakuja kufanya mazoea nao hata siku moja. Wanaume kuna namna tunaheshimiana na kuhurumiana hasa kwenye ishu nzima ya utafutaji; lakini linapokuja swala la kumkula mke wake aaah kula panga au kufanyiwa ukatili wowote ni kawaida. Hivyo...
  10. Mtumishi 19

    Dhana kwamba jasusi lazima awe “mtu safi” ndiyo inaua ujasusi wa Afrika

    Sasa naona wengi hapa mnawazungumzia PSU. Kwanza fanyeni kuelewa Ujasusi ni nini ndio mje na hizo mambo😀 Ushawahi kusikia neno jasusi kwa FBI? neno hili utalikuta CIA tu. Sasa akili mkichwa
  11. Mtumishi 19

    Kiwango hichi cha ujinga miongoni mwa Watanzania kinatia mashaka juu ya hatma ya Taifa hili miaka 20 mbele

    Weee nawe. Hapo Recho na Wanaharakati vina uhusiano gani na unachosema? Ninyi ndo wajinga mliokosa uzalendo
  12. Mtumishi 19

    Gerson Msigwa: Meli iliyokamatwa na Cocaine El Salvador imesajiliwa Zanzibar, na tayari imefutiwa usajili

    Hivi wakuu kwanini Meli ya Zanzibar iliyokamatwa 19 juzijuzi na cocaine wamesema ilifutiwa usajiri 18/02 hili jambo lina ukweli gani?
Back
Top Bottom