Utetezi namba moja.
Age sio kigezo cha usemayo case closed!
Umri haujawahi kuwa ishu hata siku moja, hako kadogo-kadogo kanaweza kukuhenyesha mpaka ukamtamani mshangazi. Kwenye ishu nzima ya Mahusiano kinachoamua mdumu au msidumu ni kwa kiwango gani mmeoana au kuendana. Vinginevyo ni sarakasi...
Ninyi ndo wale kamati za roho mbaya😀
Inawezekana kuna sehemu uliteleza, sasa kisiwe kigezo cha kuwakatisha tamaa wengine?
Badala yake waambie wenzako ulikosea wapi ili wasikutane na yaliyo kupata.
Wakuu habari za mda huu.
Hivi Benk zetu wameshindwa kabisa kubuni mfumo wa kutoa huduma kwa uharaka?
Imagine leo nimeenda bank kwa ajili tu huduma za mkononi. Lakini unatumia almost masaa matatu kwa ajili ya huduma hii kweli?
Kusema ukweli wa Mungu, mimi wake za watu nawaogopa, na sitakuja kufanya mazoea nao hata siku moja. Wanaume kuna namna tunaheshimiana na kuhurumiana hasa kwenye ishu nzima ya utafutaji; lakini linapokuja swala la kumkula mke wake aaah kula panga au kufanyiwa ukatili wowote ni kawaida.
Hivyo...
Sasa naona wengi hapa mnawazungumzia PSU.
Kwanza fanyeni kuelewa Ujasusi ni nini ndio mje na hizo mambo😀
Ushawahi kusikia neno jasusi kwa FBI? neno hili utalikuta CIA tu.
Sasa akili mkichwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.