Kinachokutesa wala sio kiapo. Ni hiyo Imani yako juu ya hicho kiapo. Badilisha unavyoamini hasa mtazamo wako. Maana kama kingekuwa na nguvu, kingewashikilia msingeachana.
Ndugu zangu habarini za wakati huu. Naomba mwenye kujua taratibu za kufungua biashara yoyote ndogo-ndogo anifahamishe hataua kwa hafua kwa mjibu wa sheria.
Siku zote mwanamke ni mrahisi mnoo Biblia ilisha taja jinsi walivyo wadhaifu! Yaani mambo yao yamkaa kihisia-hisia(mihemko) hawanaga logic hao. Kwa hiyo kumpeleka huko makazini kwa kweli hupaswi kulaumu ni sawa sawa upeleke bidhaa nzuri sokoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.