Recent content by mtumbaya

  1. mtumbaya

    Genius Only: Ni Pipa Gani Litaanza Kujaa?

    11 Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mtumbaya

    Makonda Alienda Clouds Kufuatilia Documentary Yake ya Mwaka Mmoja Madarakani

    Acha ujinha wewe documentary ifatwe usiku
  3. mtumbaya

    Clouds Media watoa ufafanuzi kuhusu habari zinazosambaa mtandaoni juu ya Gwajima, Makonda

    Umetolewa na nani? Haina uthibitisho.it is afake news
  4. mtumbaya

    Polisi wamkamata Tundu Lissu(Mb) akiwa nyumbani kwake Dodoma. Apelekwa Dar, anyimwa Dhamana

    Kumbe ndiyo maana vijana wanajiunga na makundi ya kigaidi.ujinga kama huu hauvumiliki.nami naenda
  5. mtumbaya

    Nahitaji chumba na choo cha ndani kwa ndani kwa Dar

    Njoo kitunda.elf 80 Inageti.chumba na sebule
  6. mtumbaya

    Zitto: Manji anakomolewa, sasa anyang'anywa hisa zake za Tigo na Serikali

    Nchi haiongozwi kwa visasi.kama hukujui kuongoza achia ngazi. Visa vya kijanga haijengi viwanda.Manji tafuta sehmu nyingine uwekeze achana na walioshindwq kuongoza kweupe.madawa ya kulevya ilimuwa njia tu.
  7. mtumbaya

    Vipigo vya Machinga Mwanza ni kama kwa Makaburu

    Nimesikitika sana hats Mimi.angekuwa Mwalimu mawaziri watano wangetoa kauli
  8. mtumbaya

    Manji achukuliwa na gari la wagonjwa (ambulance) kutoka kituo cha polisi kati

    Acha ujinga na wewe unashabikia uovu
  9. mtumbaya

    NECTA na usumbufu wa kupata matokeo

    Kwanzia yatangazwe mpka sasa cjayafungua full stack
  10. mtumbaya

    Mkuu wa mkoa wa Mtwara vs Mkuu wa mkoa wa Dar na Matokeo ya Kidato cha 4

    Kwa haya matokeo niliyategemea kabisa.mmi kama mdau wa Elimu kuna mambo yamechangia has kwa Mkoa wa Dsm.Tumeacha utaratibu wa watanzania,tumezoea mgemi akija tuongeza bajeti ya chakula pamoja n vipimo vya maji kwa ajili ya ugali.sasa lkn mpk elimu bure ianze tunajivunia ongezeko la wanafunzi la...
  11. mtumbaya

    Mh. Rais Magufuli, tafadhali ajiri walimu

    Sasa hivi kuna shida kubwa sana hata secondari.form ni wengi sana : mfano kuna shule ina form 680 na nyingine 480 form two 320 form 3: 290 form 4 :260 mwalimu wa phys ni 1 hapa kz tu
  12. mtumbaya

    Aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa na Upendo Peneza, wakamatwa na Polisi Geita na kuachiwa

    Ngoja niandae maandamo.nchi nzima.naanza kwanza kuwatafuta wle wakali akina Is na alsha
  13. mtumbaya

    Swali la Ugomvi: Tanzania Kuna Baa la Njaa? Upungufu Mkubwa Chakula au Hofu ya Ujio wa Njaa?

    Pamoja na yote ni kitendo cha rais kusema wakulima wauze mahindi bei wanayotaka siyo ya kingwana hata kidogo.kipindi cha sukari walitoa beu elekezi inamaana walikulima wa sukari ni wajinga au wao hawataki faida??,au sukari ndiyo unatumiwa na watu weng kulko unga???, Rais ajitathmini kama anaweza...
Back
Top Bottom