Nadhani rais hapendi ushauri wa majungu. Nilimuelewa sana alipokuwa mbozi akifungua kiwanda cha kuchakata Kahawa. cha wale vijana walio ungana na kuanzisha kiwanda hicho>Hivyo ushauri wangu kwako mshauri kwa vitendendo atakuelewa
Inawezekana nilikuwa kikwazo kwa kutotambua wajibu wangu kama mtanzania lakini kwakuwa nimetambua nimeamua kusimama katika nafasi yangu kujikomboa kiuchumi mm binafsi na jamii inayonizunguka hapo ndio mwanzo wa inchi kuendelea. kwa kupunguza umasikini kwa mtu mmoja mmoja, kuongeza flusa za...
Exchange rate kati ya shiling na usdollar ni kipimo kizuri cha uchumi kukua au kuimalika lakini swala la uchumi kukua au maendeleo chanya ya inchi yetu ni jukumu la kila mtazania na si utawala tu. kila mmoja akisimama kwa nafasi yake na kuwajibika kwa weledi naamini inchi itaendelea. Nivyema...
Hongera Mh rais kwa kufanya uteuzi mpya ambao naamini utaendanda na kiu yako ya kuhitaji tanzania mpya yenye maendeleo chanya kwa kutumia rasilimali zetu na matumizi bora ya Fedha walipa kodi.. Tuko pamoja na ww.... Viva My president................
Huu ugojwa wa kulalamikia serikali nilikuwa nao hasi pindi nilipo kuwa Na umri chini ya Miaka 30. lakinia nimekuja kugundua uvivu/ umasikini wa vikra ndio unao liangamiza taifa letu hasa kwa Wasomi lazima tutambue kuwa jukumu la kuendeleza taifa letu ni la kila Mtanzania kwa nafasi yake na zio...
Nadhani pamoja na deni kuwa kubwa kipindi cha Dr Magufuli lakini matokeo ya pesa iliyo kopwa tunayaona, Kwenye miundombinu, Vituo vya afya kila kata, Ndege, elimu bure. haina shida tutalipa tu maaana rasilimali zetu zina value kubwa kuliko hilo deni na anazisimamia vizuri .Viva My president
Mimi niwe tofauti kidogo Na mtazamo wa wachangiaji wengine. Mzee mwinyi kama sikosei aliwahi kujiuzuru nafasi yake ya uwaziri kipindi cha hayati baba wa Taifa. So implication ya picha ya january na mzee mwinyi ni kwamba pamoja na mapito anayopitia january kwa sasa ila ipo possibility ya kutimiza...
Hapa mtoa mada hakumaanisha misaada kutoka kwa wazungu ila uwekezaji katika sekta mbalimbali ambao hupungua au kuongezeka kutokana na sera ya inchi ktk uwekezaji, hali ya usalama wa incni na siasa iliyopo.
unapo andaa sera nzuri na mazingira ya uwekezaji mazuri inakuwa puling factor ya mitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.