🚨Shirika la ndege la gharama nafuu kutoka Ireland, Ryanair, limeibuka na wazo jipya la kupunguza zaidi nauli za ndege: kuondoa viti kwenye baadhi ya safari zake.
Mpango huu unalenga kuanzisha safari maalum ambapo abiria watasimama kwa muda wote wa safari, kwa kutumia mikanda ya usalama maalum...
Mke na mume walitembelea shamba la kilimo. Wakamuona ng'ombe dume akishiriki tendo na ng'ombe jike.
Mke akamuuliza meneja wa shamba:
"Mara ngapi ng'ombe dume huingia katika tendo kwa siku?"
Meneja akajibu: "Mara 6 au zaidi kwa siku."
Mke: akamtazama mumewe na kusema....."umesikia!!!"
Kisha...
Baadhi yenu mlifikiri hao makadinari wanaweza kupiga kura ya kumchagua Papa kutoka Africa? Kweli kabisa mliruhusu wendawazimu wa fikra uwaongoze kuwaza hivyo?
Africa kuwa na papa mweusi hiyo kamwe haitakaa ije kutokea. Hata kama dunia itatupa bonus ya kuishi miaka elf moja.
Ukweli ni kwamba...
Mwanaume mmoja alikuwa anampenda sana mkewe. Walikuwa wamejaaliwa watoto watatu waliokuwa wachangamfu na walifurahia sana maisha.
Yule mwanaume alikuwa analipwa mshahara wa wastani ambao usingetosha kukidhi kumpendezesha mkewe na kutunza familia. Kutokana na changamoto za kipato kidogo...
"Wanandoa walihamia kwenye nyumba mpya.
Asubuhi iliyofuata wakiwa wanapata kifungua kinywa, yule mwanamke akamuona jirani yake akianika nguo nje alizofua.
Akasema, "naona kama zile nguo hazijatakata vizuri; huyu jirani hajui kufua vizuri. Inawezekana anahitaji sabuni ya unga yenye nguvu...
#HABARI Mtoto Rwegasila Jackson (14) mkazi wa wilaya ya Muleba mkoani Kagera anahofiwa kufa maji baada ya kuzama ndani ya Ziwa Victoria wakati akiogelea na wenzake kwenye fukwe za Gymkana Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera.
Akizungumza na EATV Agripina Wiston Mkazi wa Buyekela ambaye ni dada...
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili iko mbioni kuanza kutoa huduma za upandikizaji mimba kwa mashine maalum (IVF - In vitro Fertilization)
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof Mohamed Janabi akiwa anazungumza na wanahabari Jijini Dodoma akielezea utekelezaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.