Recent content by mtu wenu

  1. M

    JamiiForums Tanzania GE2015 Zitto, mtumishi wa Mungu wa karne hii

    Zitto ni mtumish mwaminifu,hata chadema walimtukuza kwa kumwita --------,ni mtumishi wa watu wake, mingu msaidie
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nani Mbunge Singida Mjini 2015, Jesca Kishoa, Anna Mughwira,au Josephat Isango?

    Mughwila ni mgombea anayejua hasa matatizo ya singida na ana mbinu sahihi za kutatuamatatizo ya singida
  3. M

    JamiiForums Tanzania ACT wazalendo imekuwa kama mcharo

    Zzk ni mzalendo wa kweli, hakuna mzalendo ktk cdm zaid yake wengi wa wana cdm ni waroho wa madaraka na mafisad wapiga pesa inakuwaje mwemyekit kuuzia chama chake vifaa eti ndo mzabun hii si sawa, enz za nyerere angechapwa bakora akaonyeshe mkewe na watoto wake
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kitila Mkumbo ni mti wenye matunda

    Kitila ni msomi anayejua anachofanya
  5. M

    JamiiForums Tanzania Zitto: Lowassa akikatwa jina CCM, atangaze mali zake ajiunge ACT-Wazalendo (audio)

    Mbona issue yake ya kufumaniwa na kumwagiwa tindikal hajaiandika ktk magazet yake
  6. M

    JamiiForums Tanzania Zitto: Lowassa akikatwa jina CCM, atangaze mali zake ajiunge ACT-Wazalendo (audio)

    Kubenea sio mwandish mzur, wa mambo a siasa, anaeweza kyandika makala ikakaa vyema kama kina jonhson mbwambo, kube anaandikaga uzushi majungu interms of hekaya,ni sawa na vijarida vya udaku
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Zitto Kabwe alichukua uamuzi wakukimbilia ACT??

    Nnawashangaa sana chadema zzk baada ya uchaguz ndan ya chama kwisha alibak kuwa mwanacham wa kawaida asingekuwa na madhara kwa chama. Hivyo mngeweza kumbakiza na kumdhibit kirahis na chama kingeendelea bila mtikisiko. Hata hivyo namsifu zzk kwa sasa yeye ni mwenye nyumba maana alipokuwa cdm...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ya Jenerali Ulimwengu na Josephat Gwajima, CCM ni Virus hatari

    Uzi toka mtaa wa ufipa kwa mateja wa unga
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tamko la Maaskofu na Wachungaji wa Kipentekoste juu ya kuugua ghafla kwa Askofu Gwajima

    Pamoja na pengo kumsamehe, mimi nataka kuwashawish vijana wa kikatolik toka parokia yetu tuandamane hadi tanganyika packers siku ya pasaka ili gwajina atueleze kilchomfanya amtukane mtu mzima matus ya nguon namna ile
  10. M

    JamiiForums Tanzania ACT-Wazalendo kushinda uchaguzi mkuu Oktoba kama chama cha APC cha Nigeria

    Act wazalendo ndiye mbadala wa wapinzan wote tuipe sapot
  11. M

    JamiiForums Tanzania Lissu awazuia wabunge wa CHADEMA kuhudhuria uzinduzi wa ACT - wazalendo

    Lisu ana mihemuko. Na malez yake utoton yalikuwa kama kibaka tu, na yy alikuwa anajua hamwez zzk kwa hoja ndo mana anamchukia hata yuko mbal nae anaogopa kivuli chake
  12. M

    JamiiForums Tanzania Lissu awazuia wabunge wa CHADEMA kuhudhuria uzinduzi wa ACT - wazalendo

    We ben sanne ndo hsmna kitu kabisa, bendera fuata upepo wenxio wanafaid we oax yako kuwapigis debe
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu VS Zitto Kabwe, nani zaidi katika siasa za kibunge?

    Lisu anajua sheria vzr sana lkn ana mihemko na wakat fulan sheria zinapotungwa hupotosha ili kuiweka serikal ktk mtego ili I baadae sheria ikiwa mbaya serilal ndo yakilaumiwa itakapokuwa inatekeleza sheria hiyo
  14. M

    JamiiForums Tanzania ACT wazalendo ndiyo habari ya mjini

    Vichaka vya mafisad mbow. Dr slaa, mtei na cdm, vitafyejwa tu
  15. M

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu wa ACT mmeanza kuomba michango mapema mno, kwa mtindo huu watu watasita

    Cdm walivyoomba michango na ccm walivoomba ni sawa, ikiomba act kosa. Kunya anye kuku akinys bata kahalisha
Back
Top Bottom