Wiston Mogha
Senior Member
- Feb 13, 2014
- 168
- 141
#MWANZA #MWANZA Ndugu mzalendo ungana na wazalendo wenzako katika wiki ya wazalendo mkoa wa Mwanza siku ya Jumapili 19/04/2015 kuanzia saa 08:00 mchana ndani ya viwanja vya Furahisha ambapo mzalendo Zitto Zuberi Kabwe na viongozi wengine wa kitaifa watakuwa wakihutubia umma wa watanzania kuhusu masuala mazito ya kitaifa na kutambulisha chama kipya ACT WAZALENDO
Usikose!! Sambaza ujumbe kwa wazalendo wengine kadri uwezavyo!
Usikose!! Sambaza ujumbe kwa wazalendo wengine kadri uwezavyo!