Zitto ndio tumaini jipya la kuwakomboa watanzania wanaosumbuliwa na matatizao lukuki ya hii nchi.Zito kama kiongozi amejipanga kuwakomboa watanzania kutokana na umasikini, ujinga na maradhi.
Zito ni kijana wetu shupavu, anayeumia kwa kuona watanzania wa sasa hawana dira ya taifa ya kizalendo.Amejipanga kuwaelimisha watanzania watambue ni wapi walipokosea na kujirekebisha kufikia Tanzania tunayoitaka. Anafahamu ni nini kifanyike, mahali gani na kwa wakati upi.
Ana maono ya kiuongozi na nia ya dhati kuwatumia watanzania kwa haki na usawa. Anapenda kufanya kazi kwa pamoja, majadiliano na kwa kufanya tathmini ya jambo kwa wakati muafaka. Ni mtu mwenye kufikiria kizazi cha sasa na miaka mia mbeleni, kwa kuangalia changamoto za sasa na kufanyia forecast ya miaka mia na kuchukua hatua kwa muda muafaka.
Dhumuni la hii topic ni kuwapa wasifu wa ndani wa kijana wetu, mtumishi wetu na tushirikiane naye kuweka misingi thabiti ya kuijenga Tanzania tunayoitaka kwa miaka mia ijayo
Nawasilisha
Zito ni kijana wetu shupavu, anayeumia kwa kuona watanzania wa sasa hawana dira ya taifa ya kizalendo.Amejipanga kuwaelimisha watanzania watambue ni wapi walipokosea na kujirekebisha kufikia Tanzania tunayoitaka. Anafahamu ni nini kifanyike, mahali gani na kwa wakati upi.
Ana maono ya kiuongozi na nia ya dhati kuwatumia watanzania kwa haki na usawa. Anapenda kufanya kazi kwa pamoja, majadiliano na kwa kufanya tathmini ya jambo kwa wakati muafaka. Ni mtu mwenye kufikiria kizazi cha sasa na miaka mia mbeleni, kwa kuangalia changamoto za sasa na kufanyia forecast ya miaka mia na kuchukua hatua kwa muda muafaka.
Dhumuni la hii topic ni kuwapa wasifu wa ndani wa kijana wetu, mtumishi wetu na tushirikiane naye kuweka misingi thabiti ya kuijenga Tanzania tunayoitaka kwa miaka mia ijayo
Nawasilisha