Wiston Mogha
Senior Member
- Feb 13, 2014
- 168
- 141
Prof Kitila ni katika Maprof wachache walioamua kutumia taaluma yao kulisaidia taifa hili. Amediriki kupoteza nafasi nyingi za kuteuliwa ili kutetea wanyonge. Propaganda zinazoendelea kusambazwa dhidi yake ni figisufigisu za kisiasa zinazopaswa kupuuziwa. Ujinga siku zote utaaminiwa na wajinga tu.
UONGO UONGO UONGO UONGO. Prof Kitila hajafukuzwa UDASA. Hana tabia ya kulia kama sio msiba! Ni msomi mahiri na anayejielewa sio kama wasomi wengine vibaraka wa CCM!!
UONGO UONGO UONGO UONGO. Prof Kitila hajafukuzwa UDASA. Hana tabia ya kulia kama sio msiba! Ni msomi mahiri na anayejielewa sio kama wasomi wengine vibaraka wa CCM!!