Recent content by Mtu wa beroya

  1. M

    Maaskofu, Mitume na Manabii mliotuambia Mungu kawaambia Lowassa atakuwa rais wa Tanzania 2015?

    Kwani uchaguzi tayari? tusubiri Oktoba ndio tutajua au kwa uwezo wako mdogo wa kufikiri unadhani CCM wakiteua mgombea na nchi nayo ndio imefanya uchaguzi?
  2. M

    Maelezo ya Bernard K. Membe, Kuhusu Fedha za Deni la Libya

    Hilo swali lako kaka ndio jibu lenyewe,ukiona manyoya ujue kaliwa!
  3. M

    Jinsi ya kuing'oa TBC1 kwenye king'amuzi cha Azam TV

    Ukifanikiwa na mimi nielekeze,pia hapa mtaani kwangu kuna watu kama arobaini wanahitaji msaada huohuo!
  4. M

    Sheria Mkononi: Mwizi wa simu auawa Magomeni - Dar es Salaam

    Muda huo huo tukio kama hilo la uporaji simu kwa kutumia bodaboda limetokea hapa Morogoro mjini na karibu bodaboda zote za hapa mjini wanamfukuza jamaa nafikiri wakimpata hakuna mjadala yatakuwa yaleyale!
  5. M

    Mama aibiwa mtoto kliniki Mkoani Morogoro

    sio kwamba tunawanyanyapaa luv,ujinga mwingine hauvumiliki we mtu humjui unamuamini na kumuachia mtoto kizembe hivyo!
  6. M

    Mama aibiwa mtoto kliniki Mkoani Morogoro

    Wanawake wasiosoma nao wakati mwingine kuwaoa ni ishu! sidhani kama baba wa mtoto hajamnasa makofi.
  7. M

    Mke wa Gwajima aibua hofu afya ya mumewe

    Ni mwanaume ila shoga,kwa kuwa anavaa suruali bado ni mwanaume!
  8. M

    Lipumba Amtembelea Askofu Gwajima

    Ukipona wembe ni uleule hakuna kuwakopesha wasaliti,sijui nani kamdanganya Pinda kuwa eti atakuwa rais,labda mchagueni awe rais wenu wafipa lakini TZ never,bora tuongozwe na boga kuliko Pinda!
  9. M

    Alikotokea Nabii Frank Julius Kilawah wa Shilo Ministries

    Ni mpare wa same na ndiko alikozaliwa,kwa kuwa alikuwa yatima alilelewa na marehemu Moses Kulola,alifundishwa huduma na mwalimu CHRISTOPHER MWAKASEGE na baadae akaenda malawi kutumika chini ya NABII BUSHIRI,aliporudi TZ alifungua huduma IRINGA kisha akahamia TANGA ambako yuko hadi sasa.
  10. M

    `Sasa Unaingia Mkoa wa Mara Be Strong`

    Kaka TANGA kuna kuingia tu hakuna kutoka na ukifanikiwa kutoka basi dada zangu wenyeji watakuwa wamekupurusa vya kutosha isitoshe ni wakarimu mno,hata ukae miaka ishirini siku ya kuondoka ukiaga wadada watakuambia "jamani hata haujakaa WAJA LEO WAONDOKA LEO!" Wengi wametelekeza familia sababu ya...
  11. M

    Sakata la kutaka kuuawa Dr. Slaa: Polisi kuwachunguza Josephine na Mangula!

    Du,nilikuwa sijui kumbe walimu hawaruhusiwi kumdhamini mtu,mambo ya kipato nini?
  12. M

    Swali: Kwanini wavaa Hijab wako hivi?

    Umewachokoza magaidi....kazi ni kwako!
  13. M

    Kuna uhusiano gani kati ya Maandishi ya Kiarabu na Uganga?

    Kwa sisi waislamu tunaamini majini ni viumbe wepesi walioumbwa na mwenyezi mungu ili kumuabudu kama ambavyo sisi wanadamu tumeumbwa kumuabudu.hivyo hakuna tofauti ya lengo la kuumbwa kati ya binadamu na majini hivyo majini ni ndugu zetu hasa sisi waislamu,ndio maana kwenye hadithi mojawapo ya...
Back
Top Bottom